umeng'ang'ania mfano wa jeshi, unauhakika au stori za kusikia.. hayo mapori yenye nishat yaliota kama uyoga ama waliyandalia hayo mazingira wao wenyewe..
anaposema wanaishi kwa adhabu anasahau 80% ya watanzania ni wanaishi vijijini wakiwa na mazingira magum sana ya upatikanaji wa hudumaa muhimu. hapo wamepewa means za kuishi maisha standard kwa kushirikisha nguvu zao akil na umoja wao. mfano wanatakiwa wajenge nyumba wamepewa kila kitu ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.