ndio maana sasa hivi madaktari,maprofessor na wanataaluma wengine wanapiga kumbo taaluma zao wanageukia ubunge kwani kama kuna watu wa form4 wanapata mamilioni kwa siku tena kwa kulala usingizi na kuunga mkono hoja,kuna haja gani ya kuhangaika na chaki,kusumbuka na wagonjwa,kubaki mavyuoni...
wabunge wa viti maalum CCM,kama kawaida yao wanaongeza idadi ya wazomeaji,wapiga vigelegele,wasiinziaji ,waunga mkono hoja kandamizi,wajaza nafasi na sifa zingine mbaya kama hizo.
kazi ipo kwa magamba manake zamani mtaji wao mkubwa walikuwa wanawake,wanawadangaya sana lakini wanawake wa Arusha wametuonyesha kwa vitendo kuwa hawadanganyiki.
wabunge wa magamba wapo kwa ajili ya kulinda maslahi ya magamba na sio maslahi ya umma na hata humu JF kuna vibaraka wa magamba kama walivyokuwapo vibaraka wa utawala wa ubaguzi wa rangi wa Afrika Kusini.
basi kama wanaona wanalipwa kidogo waandike barua ya kuacha kazi kwa umma uliowachagua na kila mmoja alipe fidia ya mshahara wa mwezi mmoja ili tufidie gharama za uchaguzi mpya.waongezewe mshahara kwa kazi ipi wanaotufanyia zaidi ya kutunyonya na kutuibia haki zetu za msingi.mbona wengi wao...
Mwalimu Nyerere alisema ili nchi iweze kuendelea ni lazima kuwepo vitu vinne,ARDHI,WATU,SIASA SAFI na UONGOZI BORA.Sasa hapa tuna watu wa kutosha na ardhi iliobarikiwa na Mungu kwani ina utajiri wa kupindukia tatizo ni SIASA ZA MAJI TAKA NA UONGOZI MBOVU.Nawasihi watanzania wenzangu tumuenzi...
sio TANAPA tu CAG pia wawachunguze NGORONGORO CONSERVATION ndio kuna uwozo uliokubuhu kama wewe sio wa ukoo wa kigogo sahau kupata kazi ngoro*2consvation hata kama una sifa zote zinazotakiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.