acha kulazimisha upande wako kichwa mbovu. kwanini unataka kuelekezaatokeo ya uchunguzi kama unavyotaka wewe ch....z. Hata kuuawa kwachungaji unataka kuwatoa waislam. ajabu! Tatizo jina lako.
HAMNA JIPYA HABARI LEO, MBONA MSIANDIKE GHARAMA ZA MATUNDU YA VYOO AHADI ZISIZOISHA ZA dr KIKWETE, BADALA YAKE MNAANDIKA HABARI ZILIZOKUFA! MHARIRI HEBU TUMIA TAALUMA YAKO KUAPROVE HABARI MPYA NA MOTOMOTO.
There will be always negative attitude towards chadema in habari leo and daily news coz kikwete owns them, so don't ask anymore, you have all you need to know. Mwananchi is the only true and hero in tz hottest news. Big up mwananchi, big up the citizen, keep it up!
Hii inakuaje kisheria, is that mean shibuda will not be in a campaign rally until the ellection day? If it happens he win the ellection, will his candidacy be elligible? Wadau nisaidieni.
like you name, faithful. unadhani wangapi tanzania hii wanaojua kiingereza. market yao kubwa iko bongo na wengi ni waswahili waliokosa fursa ya kusoma kama, hebu toa upuuzi wa mvuto and be real F..ful.
haki ya nani kama kuna mtu kaishiwa ni huyu. kama kuna mwa JF anayefaham kiwango cha elimu ya huyu jamaa naombeni muiweke hapa. ana uwezo mdogo sana wa kufikiri.
Hiyo inawezekana, lakini inategemea na mahitaji ya mkurugenzi. Kama mkurugenzi ana upungufu katika idara ya mipango, uchumi au sehemu yoyote na kuna mtu mwenye sifa hizo, anamchukua, anaendelea kulipwa kama mwalimu lakini anafanya kazi ya mipango au idara yoyote anayofiti wakati taratibu za...
Labda Professor anaweza akaamsha ari, lakini asije kuwa kama Msola kwani tulijua anzijua shida za wanafunzi vyuoni anaweza akasaidia zaidi pale alipochaguliwa na Mh. Kikwete kuwa waziri wetu, look at what happened, ndiyo amekuja kutumaliza kabisa na board ya ke y mikopo yenye masharti kibao...
HIlo ndiyo swali la msingi haswaa. Tunao waalimu wa kufundisha vyuo vipya, wakati sasa hivi tu vijana wanaofanya vizuri kwenye masomo yao wanang'ang'aniwa na vyuo walivyosomea, that means huko mtaani hawapo watu wenye sifa zao! Zaidi sana vyuo haviangalii hata uwezo wao katika kufundisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.