Mkuu upewe nini tena!!? Tena shukuru mungu huyu ni static aisee since upo unaitwa miss Fulani mpk unafikia kwenye mama Fulani bado anakuelewa. ungekutana na mabaharia hapo Hata kama alikuwa anakuzimia kiasi gan angebadili gia fasta tu. Hebu mpe moyo wako kijana wa watu bhn
Yote hii ni mipango ya wazungu kupunguza rapid population growth especially in africa ili kuondoa ukuwaji wa science na tecknolojia miongon mwa nchi za kiafrika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.