wanamtengenezea safari nyingi nyingi sana yaani matukio kila kukicha kiasi kwamba hana kabisa muda na wanaoendesha serikali ni genge fulani lipo Kule kunani. Yaani Rais Samia ni mzalendo sana tena sana.
HII NI KWELI, SASA NANI AMWAMBIE UKWELI MAANA HAWAMPI HATA MUDA WA KUSOMA VITU.
Usipotoshe, wanapewa ruzuku kwenye maeneo ambayo Serikari imepungukiwa na uwezo wa kutoa huduma kwa jamii mfano Afya, elimu nk.
Na haya madhehebu yanendesha kwa niaba ya Serikari mf KCMC, Ndolage Hospital, Bugando nk.
Usipotoshe ukweli
Nimelikubali sana andiko lako, ni kweli mama ana nia njema na watu ila amezungukwa na manyang'au.Kuna umuhimu wa kuwachukulia hatua kwa mujibu wa taratibu.
Wameishakosea, badala ya kuchutama wanakimbia
Wewe na wenzio mna agenda za siri kuelekea 2025, lakini kama kweli mnamtakia mema Mama yetu kipenzi aliyetufungua minyororo ya utumwa ya awamu ya 5 mwambieni ukweli. Msitumie udhaifu wake wa upole uliopitiliza kumwangamiza.Sala za watu hazitawaacha salama.
Umenena, ukizingatia na kwa mara ya kwanza Kiongozi mkuu wa nchi alifia madarakani miaka ya karibuni, ni vyema kuwa wapimaji wazuri wa matendo na maneno.
Mlale salama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.