Hapa ndio hupendelea pia ushirikina uchukue nafasi, yaani kuearoga hawa jamaa hasa walokimbilia Dodoma, wameiona ikulu ni chungu kukaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naunga mkono sumaye kupigwa chini ktk uchaguzi pia kujitoa chamani, uyu alikuwa mpango was ccm kuiumiza chadema.
Kawaida sumaye alianzia utaratibu wa chipukizi wa ccm, akaja akawa uvccm, kapitia post mbali mbali za ccm, leo kaja chadema miaka mitano anataka uenyekiti taifa??
Chadema are not...
Wewe ni mjinga sana, mbona wa ccm anayeongoza nchi anapita bila kupingwa?? na anayetaka kuchuana naye B Membe mnataka ata kumfuta uanachama kisa anapambana na magu kt uenyekiti??
Narudia tena kuwa wee ni jingalao
Dah roho yangu huniuma sana jinsi Ben saanane alivyotoweshwa na majahiri haya akiwacha ndg na jamaa zake wakimlilia mwanawao, at the same time walomteka wakiplead majukwaani ati tuendelee kuwaombea.
Kweli wanamdhihaki sana Mungu wetu wa haki tena hadharani.
Tunamuomba Mungu atendee kama...
Msanii, Kweli ccm haina ridhaa ya wananchi Bali ina ridhaa ya police, nimedrive toka kigamboni kibugumo mpaka mabibo na kurudi sijaona popote wananchi japo wapo ktk msululu wakipiga kura.
Next time muwe mkiwataja viongozi mnaowataka au mashemeji zenu wanaotembea na dada zenu na so ghiriba za...
We ni kama jibwa tena lile lizee tu, hizi nondo wanazimwaga saa ngapi wakati bwana mkubwa anataka awaone ccm tu wakifanya siasa??.
Kweli kama hutumii masabuli kufikilia basi unatumia ubongo wa maiti alooza kutafakari.
Ni maoni yangu tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.