Search results

  1. H

    Tatizo la miguu kuwaka moto (neuropathy): Ushauri, Kinga na Tiba

    Kwanza kinachasababisha maumivu ya miguu inayouma na kuwaka kama moto kwenye nyayo, na nini tiba yake?
  2. H

    Mke Mwizi!!!

    Ukipenda Boga na ua lake, huyo ndio mke wako, mfundishe na kumuelimisha aache tabia ya wizi.
  3. H

    Naweza kuongeza uwezo wa kufikiri?

    Unaweza kuongeza uwezo wako wa kufikiri. But thoughts are things, then, at what measure do U want to develop/increase your things?
  4. H

    Simba hoi jaman!!

    Unavuna ulichopanda
  5. H

    Our Brother Passed Away!

    Kazi ya Mungu haina makosa. Poleni
  6. H

    Our Brother Passed Away!

    Poleni sana, Mungu ni mwema na tumshukuru kwa kilajambo
  7. H

    Dawa ya kuondoa chelewa (hangover)

    Kila unapokunywa beer chupa 1 unakojoa takribani chupa 1.25 hadi 1.5,hivyo unapunguza MAJI mwilini. TIBA yake ni kunywa maji lita moja kila baada ya kupata kilaji(pombe), na asubuhi utaamka bila MNING'INIO
  8. H

    Dawa ya kuondoa chelewa (hangover)

    Kila unapokunywa beer nusu lita au chupa moja, unakojoa takribani chupa moja na robo hadi na nusu,hivyo unapunguza maji mwilini. Hii inakufanya uamke asubuhi na mning'inio. TIBA yake ni kunywa MAJI lita moja kila baada ya kupata KILAJI (pombe), asubuhi utaamka bila kukutana na MNING'INIO
  9. H

    Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

    Tafadhali muone Daktari wa magonjwa ya ngozi, ili aweze kutambua ni aina gani ya FANGASI unayoumwa ili akupe TIBA iliyo sahihi .Pole sana, Mungu atakuongoza umpate Daktari wa magonjwa ya NGOZI
  10. H

    Tanesco

    Tuisaidie TANESCO, badala ya kuichukia. Tuwape njia zitakazosaidia kuondokana na mgawo huu wa umeme. Song gas sio mali ya TANESCO, bali wananunua huduma tu. Mtoa huduma anasema nansitisha huduma yake kwa muda ili afanye matengenezo, na huwezi kumlazimisha. Mabwawa yao ya Kidatu na Mtera hayana...
Back
Top Bottom