Kila unapokunywa beer chupa 1 unakojoa takribani chupa 1.25 hadi 1.5,hivyo unapunguza MAJI mwilini. TIBA yake ni kunywa maji lita moja kila baada ya kupata kilaji(pombe), na asubuhi utaamka bila MNING'INIO
Kila unapokunywa beer nusu lita au chupa moja, unakojoa takribani chupa moja na robo hadi na nusu,hivyo unapunguza maji mwilini. Hii inakufanya uamke asubuhi na mning'inio. TIBA yake ni kunywa MAJI lita moja kila baada ya kupata KILAJI (pombe), asubuhi utaamka bila kukutana na MNING'INIO
Tafadhali muone Daktari wa magonjwa ya ngozi, ili aweze kutambua ni aina gani ya FANGASI unayoumwa ili akupe TIBA iliyo sahihi .Pole sana, Mungu atakuongoza umpate Daktari wa magonjwa ya NGOZI
Tuisaidie TANESCO, badala ya kuichukia. Tuwape njia zitakazosaidia kuondokana na mgawo huu wa umeme. Song gas sio mali ya TANESCO, bali wananunua huduma tu. Mtoa huduma anasema nansitisha huduma yake kwa muda ili afanye matengenezo, na huwezi kumlazimisha. Mabwawa yao ya Kidatu na Mtera hayana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.