Mimi kama mshabiki wa Dar young Africa sikubaliani kabisa usajili huu wa walevi wawili, Ogra na Mkude. Hawa ni walevi sio wachezaji, hawastaili kusajiliwa Yanga.
Mimi mwananchi wa kawaida wa Mpanga Mrimba Halmashauri ya wilaya ya Kilombero.
Kero yangu juu ya huyu Mkurugenzi wa Halmashauri ni kikao chama diwani kilipiga kura kwa pamoja kiliamua Makao Makuu ya Halmashauri yatahamia Mngeta ambayo yatakuwa katikati kwa sisi wananchi tunaotoka mbali.
Yeye...
Katika hali isiyo ya kawaida Shule ya Msingi Mchombe wilaya ya Kilombero imewataka wazazi kuchangia tsh2000 kila mwezi za kuajili walimu na tsh 1000 kila mwezi kwa ajili ya mitihani.
Tunamuomba waziri Simbachawene aingilie kati suala hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.