Great thinkers tunajadili somo sio mtu. Mimi nimeipenda hii ya kudumisha lugha na kutoa nasaha. Lakini nikusahihishe tu Chinga, huyu Mzee anaongea sana tena kwa busara kubwa, hajiropokei tu bungeni. Labda Chinga uangalii BUNGE na usikilizi radio wala kuangalia tv. Huyu ndiye chanzo cha bodaboda...
Greatthinkers hawaongei vitu kwa utashi wao na kwa lugha zenye maswali ya wazi kabisa. Great thinkers wanaongea facts na wanatumia maneno kujieleza waeleweke.
Ewe Tina usiandike vitu usivyokuwa na uhakika navyo. Zebu tafuta ukweli aliouleza Nundu na usichukuwe uongo wa Mfutakamba. Nundu ndiye aliyetaka kampuni zishindanishwe na hakuwa na uhusiano wowote na China Merchant. Hata majuzi na yeye pia aliongelea na kustajabishwakwake kwa China Merchant...
Unapouliza, "Kwanini CCM imehamishia mashambulizi Tanga" inabidi utueleze zaidi ili tukuelewe. 1. Kwani mashambulizi yao yalikuwa wapi kabla ya kuhamishiwa Tanga? 2. Mashambulizi hayo ni yapi na wana shambulia nani? nk. nk. nk.
Lowassa hafai kuwa Rais wa nchi hii kwani yeye na wenzake wanaojiingiza kwenye campeni wakati muda bado na kutuonesha uwezo wao na wa marafiki zao wa pesa binafsi wakati wananchi wako hoi HAWATUFAI. Hawa watatuongezea umasikini badala ya kuuondoa. Nchemba kwa Urais bado ila anafaa kuwa Waziri wa...
Referendum hata iwe ya Wazanzibar peke yao ni kupoteza pesa kwani jibu litakuwa wazi MUUNGANO DAIMA. Hivyo wanataka tutengane wakati umefika wanyamaze. Hawawezi kututenganisha katuuuu. QUOTE=ugwenousangi;10763229]Wakuu habari za ndani kabisa kutoka Visiwani ni kuwa tayari watu wa kule washaanza...
Sasa nimeamini Tanzania hakuna upinzani bali UTOTO unaojifanya upinzani. Wamedhihirisha UTOTO wao kipindi cha Bunge la Katiba. Mungu ijalie CCM ishikilie dola kwa miaka mingi hadi upinzani wa kweli wenye nia ya kuendeleza nchi utakapopatikana. Mungu iepushe Tanzania na balaa wanaloitakia UKAWA...
SIRI GANI?
Waliopiga kura za siri walikuwapo mjengoni matokeo yalipotangazwa ildhihirika kuwa karibu wote na nyakati nyingine WOTE walipiga kura za NDIO sasa kama walipiga hapana si hata mmoja angesema sivyo! Msijaribu kuchafuwa nchi. Bunge limesema NDIO hivyo acheni kutunga uongo wenu kama...
By Erythrocyte:
Asante kwa picha mkuu , wabebaji wamenuna , HIYO IKIWA NI ISHARA YA KUJUA KINACHOKWENDA KUFANYIKA .
Waliopiga kura za siri walikuwapo mjengoni matokeo yalipotangazwa ildhihirika kuwa karibu wote na nyakati nyingine WOTE walipiga kura za NDIO sasa kama walipiga hapana si hata...
Waliopiga kura za siri walikuwapo mjengoni matokeo yalipotangazwa ildhihirika kuwa karibu wote na nyakati nyingine WOTE walipiga kura za NDIO sasa kama walipiga hapana si hata mmoja angesema sivyo! Msijaribu kuchafuwa nchi. Bunge limesema NDIO hivyo acheni kutunga uongo wenu kama kawaida -...
Ingekuwa bora Warioba anyamaze. Anapotetea takwimu kuonesha kuwa Watanzania wanataka serikali 3 anatia kinyaa - aidha anafanya makusudi au hajuwi kabisa anaongea nini!!!!!!
Tatizo la Mpangawangu ameingia hapa zaidi kulaumu CCM. Kwanza ajuwe watendaji Serikalini sio CCM na jukumu la maadili ni la raia wote. Nimuulize alijuwaje kuwa wanafanya aliyoyaeleza kama naye hakuingia na kupata huduma kwenye madanguro. Wacheni kugeuza kila jambo kuwa siasa zenu za chuki dhidi...
HAKUNA CHUO KINACHOTAMBULIKA CHA WASHINGTON INTERNATIONAL UNIVERSITY kwa hiyo watu wote wanaojigamba na shahada za huko ni vihiyo. Ona hapa:
The name "Washington International University" is used in promotional materials for other unaccredited distance learning institutions. There are no known...
Lowasa ni "low hasa"; anashindwa kutenganisha vipaumbele na matokeo! Katika kipanga, "ajira" ni matokeo sio kitendea kazi. Vipaumbele ni vitendea kazi vya kuletea matokeo. Ajira hazishuki kutoka mbinhuni. Sikujuwa kuwa huyu ni kilaza msanii kiasi hiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.