hakuna kitu kama hicho hata wao wakipewa nchi wawawezi kuijenga kwa maneno wanayoyaongea kila mtu anaufisadi wa peke yake.siasa ndugu yangu ni sumu hasa ikiongezewa pesa
kila mtu anamema na mabaya kuna rais asie na mema yake katika nchi hii tusihesabu mabaya tu kila siku,kuendesha au kuongeza nchi ambayo pado inaendelea sio kitu kidogo,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.