Acha ujinga, viwango vipo kwenye plates sio herufi hii nchi shida ni exposure. Vibao vina standard size na ung'aaji zinapomulikwa na mwanga, shida imekuja kwa wale waliopewa monopoly ya kuprint na kuuza hizo namba kuona hatari ya kupoteza biashara
Sema Waarabu wana roho za paka, case ya Egypt, Vita vya siku 6, Entebe raids na Golan heights wars ingetosha kuwafunza kuacha kabisa kuwachokoza Israel
Sasa wewe shida yako ni nini, Badala ya kuwaza mambo yanayoweza kukuingizia pesa, haya basi kama ni askari analipwa, kama ni Muuza madafu bado kalipwa, wewe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.