Search results

  1. K

    Ushauri: Mke wangu anatembea na mfanyakazi mwenzie hadi kamzalisha

    Mfowardie yeye na hawara yake hiyo meseji kutokea kwenye simu yako halafu kausha
  2. K

    Kila nikiliangalia bwawa la Mwl. Nyerere natamani kuwachapa makofi wafuatao

    Hajielewi, pesa ya miundo mbinu inarudi sio kwa bills bali faida mtambuka katika minyororo ya uzalishaji na biashara
  3. K

    Aliyetoa amri ya kubandua plate number za 3D akapimwe akili

    Acha ujinga, viwango vipo kwenye plates sio herufi hii nchi shida ni exposure. Vibao vina standard size na ung'aaji zinapomulikwa na mwanga, shida imekuja kwa wale waliopewa monopoly ya kuprint na kuuza hizo namba kuona hatari ya kupoteza biashara
  4. K

    IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

    Nenda YouTube search Entebe raids 1976
  5. K

    IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

    Sema Waarabu wana roho za paka, case ya Egypt, Vita vya siku 6, Entebe raids na Golan heights wars ingetosha kuwafunza kuacha kabisa kuwachokoza Israel
  6. K

    Watanzania tuamke, viongozi wanatudharau

    Mtanikumbuka
  7. K

    Waliouza madafu kwenye futari ya Ikulu wahojiwa, mmoja ni mwanafunzi wa Chuo cha NIT. Ni wauza madafu kweli?

    Sasa wewe shida yako ni nini, Badala ya kuwaza mambo yanayoweza kukuingizia pesa, haya basi kama ni askari analipwa, kama ni Muuza madafu bado kalipwa, wewe?
Back
Top Bottom