Search results

  1. bob nasta

    Hongereni Walimu wa nchi hii

    Kikundicha watu fulani wanatafuna ela ya walimu hamna kinachowasaidia walimu maisha duni kiliko mtumishi yeyote wa uma afazali mansion wagonjwa wanawotoa kiaina walimu tuition marufuku michango hamna ndo walikua wanapata ela ya sugar
  2. bob nasta

    Bunge baada ya kuchokwa kwa muda mrefu wamekuja na kiki ya ku-trend

    Tushabikie mpira la sivyo tutakufa na pressure
  3. bob nasta

    Je, mikopo kupitia pension kwa watumishi wa umma bado ipo?

    Ukistaafu alafu unalipwa pension kile kinachobaki kule kwenye mfuko kuna benk zinakukopesha zamana ni ile chenji iliyobaki mfukoni
  4. bob nasta

    Wabunge wa majimbo haya hawawajibiki…

    Ukonga jamani huku kivule utazani hawaishi watu
  5. bob nasta

    Kwanini TPDC wanalipwa mshahara mkubwa kiasi hiki?

    Kazi zao ni very risk kifo nje nje hasa ma engineer
  6. bob nasta

    NSSF watolea ufafanuzi ufadhili wa Clouds Media Group (Harusi ya Billnas na Nandy)

    Wamepiga palefu ao wabongo bwana nenda pale kaone wastaafu walivokata tamaa utazani wanasubili kuingizwa motoni
  7. bob nasta

    Matangazo ya Kamari kwenye radio zetu: Waziri mwenye dhamana chukua hatua

    Yani wananitesa sana wakitangaza kamali nabadili na uko nao ivo ivo wanaibia watu tu
  8. bob nasta

    Maeneo yenye maisha tofauti Dar es Salaam

    Da poa sana umenikumbusha mbali sana wote uliowataja nawajua tena washkaji wa kalibu kabisa poa sana maisha yamėtusambaratisha
  9. bob nasta

    Maeneo yenye maisha tofauti Dar es Salaam

    Du unaonekana mjanja wa K/shamba ebu tukumbuke wajanja wengine marehem Fred Mzena na ndugu yake Chogo zaka au Ganga Pioka Pita Tosh Kimono Bob Nesta Abed kachanso Mudy Newyork wengi mno unamjua nani apo
  10. bob nasta

    Maeneo yenye maisha tofauti Dar es Salaam

    Sorry ni KINONDONI SHAMBA
  11. bob nasta

    Maeneo yenye maisha tofauti Dar es Salaam

    Kweli bwana sijui umewaza nini kwa mfano KINDONI SHAMBA na ADA ESTETI nyumbani kwa mkuu wa kaya huwa tunakutana wakati wa kupiga kula lakini tofauti ya maisha kama MBINGU na ARDHI
  12. bob nasta

    Mtaa wa kwa Kindande Temeke visa vyake

    Du mimi nilizani blazili ya kinondoni mosco ndo balaa kumbe kuna kiboko yake
  13. bob nasta

    Hivi Managers wa kiume mkoje?

    Suka mipango akamatiwe guest house siku izi bonge la dili takukuru ata ela ya taxi watakupa mlostishe bwege uyo
  14. bob nasta

    Hivi Managers wa kiume mkoje?

    Acha maneno ya shombo bwana kaomba mawazo yetu mpeleke dada ako basi ili amwache dada wa mwinzio
  15. bob nasta

    Ni kwanini watanzania ni wafupi wafupi ukilinganisha na raia wa nchi zingine?

    Wakati wa zama hizo wale wenye maumbo madogo walikimbia vita kwa majayant ndo Tanzania ilikua salama kwao ndo mana sisi ni waoga na wanyonge hata kutawaliwa sio tabu ni asili yetu
Back
Top Bottom