We huna akili ilibidi jamaa awaunganishe we na mpenz wako awapige miti. Yani unamfuma mtu red handed af unaanza mara aaaoh oooh na blabla kibao.
Ua a useless man.
Siku ile zengeli anapiga mpira unadunda nje ya goalline na refa anasema ni goal si mlishangilia? Mnahisi Ihefu hawakuumia.
Basi mkae mkijua malipo ni hapa hapa duniani.
We jamaa akili huna tangu lini brandikacheza mpira.
Af kwa akili yako ukivaa sijui nike na adidas hujui kama unamfaidisha mzungu ambaye hana impact kwenye maisha yako. Bora hata sandarland akiuza jezi ananunua sukari analipa kodi anatoa ajira n.k.
Utopolo wakitolewa kwenye mashimdano wanaanza kuyaponda. Sa nyie wakatimnaenda kushindana si mlisema mnataka mbebe:
Mfungaji bora
Kipa bora
Ubingwa
Beki bora
Sa mmekosa vyote mnaweweseka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.