Jamani penye ukweli tuseme ni kweli ole millya aliokota watu wakadai wamehama ccm kwenda chadema,mie nilikuwepo arusha wazi kabisa ungejionea kama ungekuwepo,
shangaa na wewe watanzania walivyo na choyo,idea za kijamaa ndo zimetujaa,ndo mana watu hawaishi kuoneana vijicho,roho mbaya,mtu akinunua gari fisadi,wabongo bana
kwani kuna ubaya gani jamani mna mnakua sasa hata hamna hoja mnakua mnapinga tu vitu hovyo,yule ni binadamu hakuna ubaya wowote kama aliona kapata hata dakika 5 asiende kujulia hali watu basi kazi,iko siku hata akienda kumcheki mzazi wake mtasema,dah kuongoza nchi za kiafrika!!!!!!!
dah nimeshangazwa sana na huyu jamaa na maelezo yake,yani huyu jamaa ni mdini kupindukia hata haoni hoja ya post,ni ukweli nyerere ndo chanzo cha umasikini wetu,we nchi gani unataka kuchcange dola hata ikiwa moja eti mpaka upate kibali cha ikulu?!!!! haya ndo mambo ya nyerere,sasa huyu jamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.