Habarini za humu JF Elimu,
Leo nimekuja kutoa nami mawazo na mitazamo ni namna gani tunaweza kuwasaidia hawa watoto katika hili somo rahisi kabisa!
MAMBO YA MSINGI KWA MWANAFUNZI NA KWA MWALIMU
1. Lugha adhimu ya kiingereza iwe mikononi mwa wanafunzi kwa vyovyote vile hasahasa grammatical and...
Wanajamvi, Habarini za Leo!
Ninaomba wizara husika na baraza la mitihani la Taifa (BAMITA) AU NECTA watueleze kipi haswa kinachofanya wasitoe ratiba ya mitihani ya vidato hivyo mpaka muda huu mwezi wa nane huku tumezoea ratiba hutolewa mwezi wa nne tu leo imekuaje?
Tangu baraza lianzishwe...
Ndugu wanajamii forums, Habarini za asubuhi.
Naomba tuweze kusaidizana kwa MITIHANI mbalimbali kwa watoto wetu.
Nimeanzia primary lkn naendelea kuweka MITIHANI mingi zaidi
Wanajamvi vipi kuhusu majina ya malimbikizo ya mishahara tumeona kwenye bajeti yetu lakini mpaka sasa hatujaona majina ya watumishi wanaostahili kulipwa hayo malimbikizo.
Wizara inayohusika kazi kwenu tunataka uwazi na ukweli.
Ndugu wanajamvi leo nataka nigusie kuhusu wimbi letu la vijana wa hili taifa la Tanzania:
Moja, vijana tupambane katika kutafuta riziki ya kila siku vijana tujikubali na tuweze kuuachia ubongo uweze kutafsiri vyema namna ya kupambana na maisha ya kawaida ya kila sikh na so kutegemea mtu ama...
Wanajamvi habari za leo,
Poleni kwa majukumu na mihangaiko ya kulipambania taifa letu pendwa la Tanzania. Mnaomba niende moja kwa moja kwenye lengo la kuandaa huu uzi kuhusu elimu katika sekondari. Naomba wizara zinazohusika ziweke mikakati imara ili waweze kuzidhibiti shule za serikali:
Moja...
Wanajamvi nimekuwekea link ya moja kwa moja kuangalia machagulio ya SHULENI na tahasusi kwa SHULENI zote Tanzania Uchaguzi wa Kidato cha Tano na Vyuo vya Kati, 2021
Ndugu wanasiasa wenzangu, awali ya yote nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania KAZI IENDELEE. Hawa watu wanahangaika sana na pia inabidi ikimpendeza Rais awateue upya au awaambie wachape kazi tu maana wanatumia fedha za umma vibaya. Wakurugenzi ndio wa hovyo kabsa muda huu kila...
Imeandaliwa na Mwl.ngh'oloyape,
Habarini wanajamvi wa siasa forum nimejaribu kufuatilia siasa za Tanzania na jinsi ambapo tunajinasibisha mitaani kwamba Lissu atakuwa Rais wa JMT nimegundua na kuweza kuona hawezi kufikisha 40% kwa ujumla katika uchaguzi huu kwa sababu kuu zifuatazo:
1. Chama...
Wasalaaam
Mimi kada mtiifu wa chama Cha MAPINDUZI CCM ninawasalimu kwa hekima watu wote bila kujali rangi Wala chama. Naomba nijaribu kutoa hili dukuduku langu ambalo chama changu hasahasa KATIBU MKUU na MWENYEKITI wetu hawapendezwi nayo kabisa.
1. RUSHWA, ndugu wanachama rushwa ndani yetu...
Habari za asubuhi wanajf wenzangu
Awali ya yote namshukuru MWENYEZI MUNGU kwa kunijalia kuwa SALAMA wa AFYA. Nimenunua eneo la makazi kwa muuzaji ambae hapo awali walielewana na mtu kimdomo bila maandishi na akapewa hela laki 1 (NILIKUWA SIFAHAMU KUHUSU HYUO MUNUNUZI )
Baadae wakawa wanatafuta...
Ndugu wana taaluma idara ya elimu habari za asubuhi,
Naomba mwenye tetesi au lini matokeo ya hawa vijana yanatoka lini maana humu JF kuna watu wapo kwenye Baraza la Mitihani la Tanzania na naamini Wana ratiba kamili kuhusu lini matokeo yanatoka siku ndio zimeyoyoma zaidi Jumatatu vijana lazima...
Ndugu wanajopo habari za siku nyingi na pilikapilika za kulijenga taifa letu la uchumi na viwanda .
Naomba mawaziri na manaibu mawaziri waliopo humu wajaribu kufuatilia kuna wananchi kanda ya ziwa wameuza pamba kwa mkopo mpaka sasa hawajapata hela yao lakini pamba imeshatolewa kwenye stoo za...
Ninaomba kujuzwa je GPA 2.6unaweza soma master ya education either kupitia Open university au kupitia vyuo vya kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za siku wana jamii forum wenzangu mimi ni mwalimu by professional hivo imenibidi nihangaike huku na huku kutafuta vitabu na mpk sasa namshukuru MWENYEZI MUNGU kwa kupata vitabu muhimu kabisa kwa bei ya kawaida kwa INDIAN BOY mmoja ambae nimekuwa rafiki yake kupitia Mtandaoni Kwa leo...
Wanamichezo leo ni wasaa wa kusubri wanavyoharibiwa uwanjani kwao BARCA na wazee wa TURIN naamin mwenye macho haambiwi tazama game ya leo mtu analala kwake 2 kwa moja macho yetu 2145 wasaa wa game yenyewe sisi tumetangulia na majirani zetu ATLETICO MADRID tunawatazama nyie wabebwaji kwa...
Napenda kukaribishwa kwa bashasha nyingi za hapa na pale.Mimi ni kijana kutoka katika mtaa maarufu kabisa hapa TANZANIA ambapo mke wa mtemi wa UNYANYEMBE alihongwa hela kwa ajili ya kutekeleza kile kilichokuwa kimedhamiriwa na Wazungu HONGWA KINAMAPULA nasema NAWAKARIBISHENI SANA KWETU KIJIJINI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.