Ndugu wamesema hizi pesa zimetengwa kwa miradi mbalimbali ikiwa ni pamoja na kujenga nyumba 500 za bei nafuu na siyo kwamba wanataka kujenga nyumba moja kwa sh milioni 500
Mimi kwa uelewa wangu ni kwamba unapewa hadi 40℅ ya take home yako lakini ili kujua 6℅ ni kiasi gani basi utachukua hiyo 40℅ ambayo sasa itageuka kuwa 100℅ unapotafuta hiyo 6℅ kwa mfano mkopo wako ni 500,000 kama take home yako sasa 40℅ ya 500,000 itakuwa ni 200,000 kwa hiyo utatafuta 6℅ ya...
Mimi c mtumishi wa chama ni mtumishi wa serikali na mshahara nilishapata tarehe 23 jioni nashangaa wewe ni mtumishi wa wapi unalalamika humu jf as if mishahara wanatoa humu
Kuna watumishi wa serikali wengine ni shida kama kuna vitu ambavyo serikali hii imejitahidi kufanya ni kulipa mishahara kwa wakati na ifike mahali tusiandike vitu vya kijinga kama hivi inaonesha namna gani akili zetu zilivyo kama mshahara umekuwa ukitoka kila tarehe 22-23 unalalamika nini mbona...
Kuna watu wajinga sana wanaandika bila evidence kingunge ameleaje ccm kwa zaidi ya miaka 40 wakati alipoondoka ccm yenyewe ilikuwa haijafikisha miaka hiyo
Ni hao mashabiki wa arsenal wanaopayuka humu records tu za kushinda mechi 15 c kitu tusubiri mwisho wa ligi lakini lazima tuukubali ukweli kwamba Man U ni brand kubwa duniani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.