Search results

  1. M

    Temeke kujenga nyumba 500 na kuziuza kwa wananchi kwa bei nafuu

    Ndugu wamesema hizi pesa zimetengwa kwa miradi mbalimbali ikiwa ni pamoja na kujenga nyumba 500 za bei nafuu na siyo kwamba wanataka kujenga nyumba moja kwa sh milioni 500
  2. M

    Mkopo wa mshahara

    Mbona mimi nimepata
  3. M

    NMB Salary Advance acheni wizi

    Mimi kwa uelewa wangu ni kwamba unapewa hadi 40℅ ya take home yako lakini ili kujua 6℅ ni kiasi gani basi utachukua hiyo 40℅ ambayo sasa itageuka kuwa 100℅ unapotafuta hiyo 6℅ kwa mfano mkopo wako ni 500,000 kama take home yako sasa 40℅ ya 500,000 itakuwa ni 200,000 kwa hiyo utatafuta 6℅ ya...
  4. M

    Jerry Murro yupo kwa TB Joshua

    Unakumbuka nywele nyeupe naye alikwenda mbona humtaji
  5. M

    Ni hali mbaya ya uchumi? Mpaka sasa Serikali bado haijalipa mishahara ya mwezi huu!

    Mimi c mtumishi wa chama ni mtumishi wa serikali na mshahara nilishapata tarehe 23 jioni nashangaa wewe ni mtumishi wa wapi unalalamika humu jf as if mishahara wanatoa humu
  6. M

    Ni hali mbaya ya uchumi? Mpaka sasa Serikali bado haijalipa mishahara ya mwezi huu!

    Kuna watumishi wa serikali wengine ni shida kama kuna vitu ambavyo serikali hii imejitahidi kufanya ni kulipa mishahara kwa wakati na ifike mahali tusiandike vitu vya kijinga kama hivi inaonesha namna gani akili zetu zilivyo kama mshahara umekuwa ukitoka kila tarehe 22-23 unalalamika nini mbona...
  7. M

    Simba msisikilize kelele za majirani zetu

    Leo unamwona mzee Akilimali kama mtu anayeujua mpira?
  8. M

    Nimehamishwa kutoka kufundisha Sekondari na kupelekwa primary kisa sielewani na mkuu wa shule

    Nenda kspige kazi mshaambiwa maslahi yenu yanabaki pslepale tatizo walimu wa sekondari mnapenda sifa mbona hamna chochote huko
  9. M

    Simba kushuka dimbani na Al Masry ya Misri tarehe 6 na 16 Machi 2018

    Simba imewatoa waarabu mara ngapi
  10. M

    Hawa ndio wanasoka wanaopewa kick sana kuliko uwezo wao

    Yupo yule beki wa kushoto
  11. M

    Huyu alikuwa ni hazina ya CHADEMA

    Thamani za ofisi ni nini
  12. M

    Nimeona aibu rais Magufuli anavyomsifia Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

    Ni wapi majaliwa alipiga bakola walimu?
  13. M

    Mzee Kingunge Ngombale Mwiru azungumza kuhusu Tundu Lissu

    Kuna watu wajinga sana wanaandika bila evidence kingunge ameleaje ccm kwa zaidi ya miaka 40 wakati alipoondoka ccm yenyewe ilikuwa haijafikisha miaka hiyo
  14. M

    Nimeacha rasmi kushabikia Manchester United

    Ukitaka kuhama hama kimyakimya kwani ulipoanza kushabikia man u ulimtangazia nani na hao man city ni timu ndogo kama Leicester city tu
  15. M

    Hii form ya Manchester City wangekuwa nayo Manchester United tungekoma!

    Ni hao mashabiki wa arsenal wanaopayuka humu records tu za kushinda mechi 15 c kitu tusubiri mwisho wa ligi lakini lazima tuukubali ukweli kwamba Man U ni brand kubwa duniani
Back
Top Bottom