Kama unatumia simu ya android kuanzia toleo la 9 pie, basi njia inakufaa. Huitaji ku root.
Jinsi ya kufanya
1.) Nenda Settings --> Connections --> More connection settings --> Private DNS
2.) Chagua Private DNS provider hostname
3.) Sehemu iliyo wazi, jaza moja kati ya anwani hizi hapa...
Nna Galaxy note8 ambayo naitumia tangu mwaka 2017 mwezi wa kumi na moja. Ni water resistant, hivyo uwa kuna siku napiga picha nikiwa ndani ya maji na haijawahi nisumbua.
Wiki iliyopita nimeingia nayo kwenye maji nikapiga picha vizuri, ila baada ya muda ika anza kustuck, nikaireboot, ikawaka...
Nna Galaxy note8 ambayo naitumia tangu mwaka 2017 mwezi wa kumi na moja. Ni water resistant, hivyo uwa kuna siku napiga picha nikiwa ndani ya maji na haijawahi nisumbua.
Wiki iliyopita nimeingia nayo kwenye maji nikapiga picha vizuri, ila baada ya muda ika anza kustuck, nikaireboot, ikawaka...
Jana Tarehe 25 Feruary katika Maonesho ya Simu ya MWC Kampuni ya Samsung imezindua Simu mbili mpya Samsung Galaxy S9 na Samsung Galaxy S9+. Mtaawasaba imefanya uchambuzi wa kina katika simu hizi mbili na kukuletea sifa, muonekano, bei ya vitu vipya vilivyoongezeka katika simu hizi mbili.
Muundo...
Habari wanajukwaa,
Nna line ya ttcl ambayo naitumia kwenye mobile router hizi za huawei (dashboard yake haina option ya kurecharge). Tatizo linakuja wakati wa kujiunga na kifurushi. Nikiitumia hiyo line kwenye simu karibia zangu zote uwa haisomi (inaandika emergency call only) ila nikiirudisha...
Tovuti mashuhuri na maarufu inayolist torrent ya kickass torrent au kat.cr imefungwa na serikali ya Marekani pamoja na mmiliki wake kukamatwa huko Poland. Tovuti hiyo iliyojipatia umaarufu na kuwa the largest torrent site on earth baada ya the pirate kuzamishwa na umaarufu wake kupungua, vyanzo...
Jana katika mkutano wakila mwaka na madeveloper uliopewa jina la I/O, kampuni ya Google ilitangaza toleo jipya la android lililopewa codename android m, ambayo inatarajiwa kuchukua nafasi ya android lolipop ambayo iko kwa sasa.
android m ambayo imeachiwa jana rasmi kwa ma developer, itaanza...
ishawahi kukutokea umeweka flash au external hard disk kwenye kompyuta na pale pale mafaili na mafolda yote yakageuka shortcut au yakapotea kabisa,
kuna njia rahisi (kwa watumiaji wa windows 7 na kuendelea) ambayo itasaidia kurudisha mafaili yako pamoja na mafolda yaliyokuwemo ndani ya flash...
Kwa mujibu wa Google trends, mwaka 2014 watanzania wame google maneno yafuatayo kwa wingi.
haya ndio maneno 10 yaliytafutwa kwa sana...
Pia kuna list ya maneno ambayo yametafutwa kwa kasi sana, kutokana na sababu za kimaadili sitapost list hiyo, ila unaweza jionea mwenyewe
hapa
Sio tetesi tena, jana Google wametangaza toleo jipya la operating system yao ya android. Toleo hilo ambalo mwanzoni lilijulikana kama android L sasa imethibitishwa kuwa L inasimama badala Lollipop. Pamoja na kutangazwa kwa toleo hili jipya ambalo litaanza kupatikana rasmi kwa watumiaji wa...
Basi nikjua kampuni ya blackberry ilishajifia kitaaambo, actually haipo kwenye race za smartphone japo siku za awali wao ndio walikuwa vinara, anyways siku mbili zilizopita jamaa wametoa kitu kipya walichokipa jina la Blackberry Passport.
simu hii ina kioo cha mraba pamoja na physical...
kwa mujibu wa mitandao ya neowin na mingineyo wameanza kupost picha na video za iphone 6. picha zimetolewa na mtandao wa kichina na wale jamaa ambao ndio hujulikana kwa kuleak product za apple kabla hazijatoka wanaojulikana kama 9to5mac tayari wanaamini picha na video ni za iphone 6 halisi...
Haya tena wale wapenzi wa teknolojia hasa gajeti, leo Samsung wamezindua flagship yao kutoka familia ya Galaxy note amabyo inakwenda kwa jina la Samsung Galaxy Note edge.
Simu hii ina kioo klichojikunja tofauti na flat screen tulizozoea, kwa sasa hii ndio highest end phone kutoka Samsung...
Dogo kaja na simu yake Galaxy s4 inajirestart kila muda mpaka itakapoisha chaji izimike. mie kwa haraka haraka nikaona hapa naiwekea firmware mpya maana factory reset haijasaidia kitu,
hapo ndio shida ilipoanzia, kabla sijaanza kudownload android 4.4.2 kitkat nikaona kwanza niikague...
Muda mchache uliopita kampuni ya Samsung wamezindua flagship tableti yao mpya kwenye familia ya Galaxy tab. Ambapo kuanzia leo tarehe 13 juni watu wataweza kuiagiza kabla haijaanza kuuzwa madukani mpaka hapo mwezi ujao. Tableti hii ambayo inatoka ikiwa na ukubwa wa aina mbili yani toleo lenye...
myelimu.com ni mtandao unaowaleta pamoja wanafunzi wote wa sekondari Tanzania kujadili masomo pamoja na maswala mengine mbalimbali ya kitaaluma.
Muanzilishi wa mtandao wa myelimu.com Bwana GIVENALITY anasema, mtandao huu ni njia nzuri ya wanafunzi kuafaidi utandawazi hasa intaneti, badala ya...
Taarifa ambazo amezithibitsha mwenyewe Dr. Dre ni kwamba kampuni ya apple wananunua beats by dre kwa dola za kimarekani bilioni 3.2 na kumfanya awe mwana hiphop wa kwanza billionea.
=====================================================
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.