Kama unatumia app, nenda settings > push notifications, kisha disable
Kama unatumia tovuti, fungua profile page yako, nenda preferances, halafu angalia kama umeweka kama inavoonekana hapa chini
Tanki, Hii ni portable version [probably], uwa wana compress, zinafanya kazi kama app ya kawaida ila uwa inaweka taarifa kwenye temporary folder na ukifunga app yako inafuta taarifa zote... So ukifungua tena inakuwa kama unaanza upya
Inawezekana, kama unatumia simu za android ni rahisi sana, mfano kama unatumia samsung ina option ya dual messenger, inakuruhusu ku install whatsapp na social media nyingine mara mbili kwa namba mbili tofauti
Njia nyingine ni kutumia ni hizi modded version ambazo safety yake haijulikani...
Nenda settings > chats > chats backup halafu bofya kitufe cha kijani cha backup
Iyo ni local backup, uninstall iyo unofficial whatsapp, install official whatsapp, ikifika sehemu ya ku restore kubali itaanza ku restore local backup kwanza, kisha itajaribu ku restore online backup.
Then...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.