Elimu ya magharibi na huku mnaililia,na mtalia mpaka huyo mtume wenu afufuke.Mnaacha kuingia darasani mnaishia kusoma madrasa tu na mtaishia la saba hivyohivyo...
Kweli waislam ni wapuuzi aisee.Kama kuna siku mmewahi kukatazwa kujenga shule,kusoma au kunyang'anywa shule na serikali hebu tuambieni,siyo mnaishia kulalama tu bila sababu nyie si mnadhani kutawaza na kuswali swala tano ndo elimu na tutaendelea kuwakimbiza tu,na hata mkianzisha jihad...
Ht mm nlpt hzo taarfa zlnktsh tamaa sn coz nko ple npg Information Systems bt at th end of th day nikasema haina shida ishu ni kukamka af unajiajiri,wakiona wa-wonders watakutafuta 2 af unawachinjia baharini.I rmmbr nlvymlza six nliomba tempo kwny xcul flan wakanzngua bt matokeo ylvytka...
Mimi naomba kuhoji kuhusu suala ya management ya UDOM kuwarudisha nyumbani wanafunzi wa kitivo cha mawasiliano na elimu angavu (Informatics & Virtual Education), kisa walikua wanadai pesa zao za mahitaji maalum ya kitivo (special faculty requirements).
Halafu kwenye vyombo vya habari wanasema...
We unayejiita mr. Mark sijui,acha kuropokwa ili ufurahishe umati.Kama kitu hukijui kaa kimya ili uambiwe au na wewe baba yako ni mmojawapo wa hawa wanaofuga vitambi vyao kwa ufisadi? Wanafunzi wa informatics wanadai hela zao za mahitaji maalumu ya kitivo (special faculty requirements) ambazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.