Search results

  1. K

    Je, Mmiliki wa Lake Oil ni nani?

    Kuna taarifa kwamba Riz-one anamiliki vituo vya mafuta vya Lake oil. Anashirikiana na jamaa mmoja ambaye alikuwa bosi wake na waziri aliyeshindwa uchaguzi 2010. Kumbe ndio maana jamaa wana jeuri ehhhh. Du hata JK ana tenda ya kusupply mafuta serikali ya Burundi ndo maana mama alikuja...
  2. K

    Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

    Hata mkiandamama haitasaidia kitu.... Bora mrudi tu nyumbani mgombee 2015 chadema
  3. K

    Rev Masanilo Won £ 500,000

    hawa jamaa ni hawkers. kuna jamaa alikuwa anawasiliana nao eti kashinda Pound laki tano.. the same message.. akawapa data wakaingia kwenye email yake.. sasa anakipata na email yake imefungwa... be careful of this........
  4. K

    Bajeti ya Wizara ya Uchukuzi yagaragazwa Bungeni

    Filikunjombe anataka omary nundu anyongwe..... du huyu jamaa kigeugeu jusizi tu alikuwa anawabeza wapinzani leo yuko nao pamoja..... mheshimiwa mweyekiti.. SIUNGI MKONO HOJA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
  5. K

    USHAURI: Tubadili mfumo wa viti maalum, vifutwe!

    jinsi mambo yanavyoelekea kubadilika kuna dalili kwamba viti maalum mwisho wake ni 2014. Je itakuwa jambo la mbolea iwapo tanzania itabakia na wabunge wa kuchaguliwa tu!!!!!
  6. K

    Uchumi wetu na wasomi wetu!!!

    nimevutiwa sana na discussion ya CV ya spika. La msingi hapa tujiulize ni kwamba usomi wetu umesaidia nini. Angalia sokione, mrema na kawawa walikuwa statemen. Lakini wasomi wetu ni bure kabisa. Kigezo cha elimu ndo kinatuponza watanzania na tunaiba mitihani vyuoni ili tufaulu then tuajiriwe...
  7. K

    Uhalali wa serikali ya Tanzania mashakani

    nashangaa na kelele zote hizi bado wamefumba macho
  8. K

    Pesa nyingine hizo tunakopa.. Tutazilipa lini

    World Bank approves $59 mln infrastructure loan for Tanzania DAR ES SALAAM, July 1 (Reuters) - The World Bank said on Friday it has approved additional financing of $59 million to support the improvement of Tanzania's transport infrastructure. The latest loan is in addition to an...
  9. K

    BUNGENI: Waziri Ghasia awasilisha Bajeti yake; mishahara yapanda

    Huyu kama condoleza rice mlamba miguu
  10. K

    BUNGENI: Waziri Ghasia awasilisha Bajeti yake; mishahara yapanda

    Huyu kaka condoleza rice mlamba miguu
  11. K

    Uhalali wa serikali ya Tanzania mashakani

    Du patamu kaka.. Juzi tu nimeongea na mtafiti mmoja.. Raia mwema na this day nao wameotoa.. Hii ni hataru kwa nchi.. Kuna king makers
  12. K

    Uhalali wa serikali ya Tanzania mashakani

    SOURCEsOURCE bUSINESS tIMESDate: Fri, 24 Jun 2011 17:09:20 +0100 Subject: Legitimacy crisis mounting over Tanzania's undisciplined regime (BT) Written by Times Reporter Friday, 24 June 2011 05:30 TIMES REPORTERS THE Tanzania economy recorded relatively good economic growth over the last...
  13. K

    Ziara ya Hillary Clinton kuja: Picha na Matukio

    naangalia na ujio wa clinton lakini sioni maafisa usalama wa tanzania
  14. K

    Mbunge Viti Maalum Shinyanga Mjini, LUCY MAYENGA azomewa.

    mayenga chakula ya wakubwa nashangaa hata hao waliokuuwa wanamsikiliza. Kilaza number one huyu opportunist
  15. K

    Watanzania ni wakarimu sana!!

    Niko hapa belgium naambiwa watanzania wakarimu na matajiri sana kwani raisi wetu hakatai mialiko hata graduation ya chekechea na anatumia fedha za dhahabu tunazouza.... Du kweli mambo
  16. K

    MAJIRA sasa wanatangaza ngono live

    majira ipi. Gazeti ama kipindi cha RTD
  17. K

    William Malecela: Watoto wa viongozi na uongozi wa taifa letu!

    agwe chili baha. Siakumanyile lusinde
Back
Top Bottom