Search results

  1. Night Watch

    TBC, mnaajiri mambumbumbu?

    Meli itafika Sudan Kusini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  2. Night Watch

    Binti atoa penzi siku 3 bila ridhaa yake, na kesi kashindwa

    Ndio kitu cha kujiuliza imekuwaje wame cite wrong provision.
  3. Night Watch

    Binti atoa penzi siku 3 bila ridhaa yake, na kesi kashindwa

    Mkuu ushahidi upo wa kutosha kabisa kwenye hiyo kesi,tatizo ni kwamba huo ushahidi uliokuwepo na ambao ulitolewa na muhanga mwenyewe wa hilo tukio haukuendana na kifungu cha sheria ambacho mtuhumiwa alishitakiwa nacho,ushahidi uliotolewa unaangukia kifungu cha 130 (1) (2) (a) lakini kwenye hakti...
  4. Night Watch

    Binti atoa penzi siku 3 bila ridhaa yake, na kesi kashindwa

    Hawezi tena kufunguliwa mashtaka upya ndio nitolee hiyo double jeopardy rule inamlinda.
  5. Night Watch

    Binti atoa penzi siku 3 bila ridhaa yake, na kesi kashindwa

    Wakulaumiwa ni State Attorney kwa ku cite provision ambayo sio sahihi na haiendani na ushahidi,yani kesi imesikilizwa kuanzia mahakama ya wilaya hadi hukumu inatoka hawakugundua hilo na mtego huo huo Jaji wa mahakama kuu hakuona hayo makosa kwenye rufaa hadi wazee wa juu ndio wameona.
  6. Night Watch

    Kwenye msitu wangu kuna black mamba/ koboko natafuta njia za kumwangamiza bila kuleta madhara kwenye jamii

    Kuna kipindi huwa naangalia kwenye channel ya Natio Geographic Wild kinaitwa Snake in the City,kwa jinsi Black Mamba anavyoongelewa mule kama nyoka hatari zaidi barani Afrika,lakini wewe kwenye comments zako ni kama una mu underate nashindwa kuelewa,je ni kweli hata wale jamaa wa snake in the...
  7. Night Watch

    WanaJF wengi wanaandika maoni yao kwa kuangalia “reply” za mwanzoni ? No critical thinking

    Kuna watu tayari huu uzi wamerudia yale yale yaliyosemwa na mtoa mada na baadhi ya wachangiaji.
  8. Night Watch

    Mchekeshaji Nyanda Kabundi fanya haya

    Naona U fm Radio ya Azam pia wamemtumia kwenye tangazo lao.
  9. Night Watch

    FT: Simba SC 1-2 Tanzania Prisons | NBC Premier League | Jamhuri Stadium | 06.03.2024

    Simba tukiwaambia hamna timu muwe mnatuelewa sio kwamba tunawaonea,kile ni kituo cha kulea wazee na sio klabu ya mpira. Uzi tayari.
  10. Night Watch

    Simba sasa kuamua wa kuambatana naye Robo Fainali ya CAFCL

    Afya ya akili ni jambo la muhimu hapa nchini.
  11. Night Watch

    Yvonna Kamuntu na mumewe waikimbia Star TV

    Mrejesho ni kwamba amekuwa mtangazaji kinara wa habari pale Azam Tv kwa upande wa wanawake,una lingine la kusema?
  12. Night Watch

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kwa hiyo idadi watu wataogopa kwenda idadi itapungua kidogo.
  13. Night Watch

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Na kupata 100% labda ujihoji na kujipa marks mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23]
  14. Night Watch

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  15. Night Watch

    Yanga inaweza kua timu ya kwanza kufika nusu fainal CAF kutoka Tanzania

    Mmeanza wazee wa record za kuokoteza.
  16. Night Watch

    Azam amefuta other channels?

    Jaribu kufanya auto search ya Channel unaweza kuzipata mana mimi hapa kwenye Azam Tv nayotumia hadi muda huu zipo.
  17. Night Watch

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    [emoji23][emoji23][emoji23]hili sakata lilianza jana bungeni,ila huyo alie lia atasaidia pia wanyonge waliotoka form iv kwenda chuo moja kwa moja wakapishana na ile jkt ya kwa mujibu,mana mtu alikuwa akiona kigezo cha jkt anapita huku kakunja sura.
Back
Top Bottom