Mkuu ushahidi upo wa kutosha kabisa kwenye hiyo kesi,tatizo ni kwamba huo ushahidi uliokuwepo na ambao ulitolewa na muhanga mwenyewe wa hilo tukio haukuendana na kifungu cha sheria ambacho mtuhumiwa alishitakiwa nacho,ushahidi uliotolewa unaangukia kifungu cha 130 (1) (2) (a) lakini kwenye hakti...
Wakulaumiwa ni State Attorney kwa ku cite provision ambayo sio sahihi na haiendani na ushahidi,yani kesi imesikilizwa kuanzia mahakama ya wilaya hadi hukumu inatoka hawakugundua hilo na mtego huo huo Jaji wa mahakama kuu hakuona hayo makosa kwenye rufaa hadi wazee wa juu ndio wameona.
Kuna kipindi huwa naangalia kwenye channel ya Natio Geographic Wild kinaitwa Snake in the City,kwa jinsi Black Mamba anavyoongelewa mule kama nyoka hatari zaidi barani Afrika,lakini wewe kwenye comments zako ni kama una mu underate nashindwa kuelewa,je ni kweli hata wale jamaa wa snake in the...
[emoji23][emoji23][emoji23]hili sakata lilianza jana bungeni,ila huyo alie lia atasaidia pia wanyonge waliotoka form iv kwenda chuo moja kwa moja wakapishana na ile jkt ya kwa mujibu,mana mtu alikuwa akiona kigezo cha jkt anapita huku kakunja sura.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.