Wamekagua mfukoni ana kadi ya chama gani?Kadi ya chama atakayokamatwa nayo ndiyo itabainisha sura na rangi halisi ya chama na wanachama wa chama hicho.
Duniani umeishi saana haizidi miaka 100!Haya mambo ukifuatilia saana unaweza hata ukalazimika kufunguliwa faili pale Mirembe!!!!!
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Kuna watu kwa makusudi wameingia kwenye siasa kimakosa.Mbaya zaidi wakapewa mamlaka makubwa!Najiuliza tu hivi kazi ya mbunge ni nini?
Hivi huwezi kufanya siasa za kiustarabu ukiwa nje ya ccm?Nini maana ya mfumo wa vyama vingi vya siasa?Kwanini Kiongozi mmoja kasema kuhamia kwao mwisho ,,Disemba,?
Tatizo neno "Mfumo wa vyama vingi vya siasa"Limetafsriwa hovyo!Bro Makonda anajiona anajua kila kitu!Kitendo cha kuaminiwa na mtu mmoja mwenye mamlaka anajiona anajua kila kitu.Watu wakishakuwa na magwanda yao ya vyama hekima wanaipeleka likizo.
Kwa sasa wanafuata sehemu watakayokula mkate kwa Amani!Wengi si wanasiasa ni wapigania fursa!Wameipata na wanaitumia!
Halafu kwa mbaali naona ni mkakati ambao umesukwa kikamilifu.
Kama ni diwani amebaki na udiwani wake,kama ni mbunge amebaki na ubunge wake,kama alikuwa hana cheo amepewa!Tena...
Kati ya vitu vinavyoligharimu taifa kwa sasa ni chaguzi za marudio.Ulianza kama mchezo wa kuigiza hivi lkn hadi sasa faida za marudio ya chaguzi hizo zikiwekwa kwenye mizania ya watu wenye fikra huru na hasara zake,lzm ielemee kwenye hasara!
Si mikokotoo tu ya ngawira lkn zimechochea uhasama wa...
Simu ni janga si kidogo!majumbani hakunogi,ndoa kusalitiwa,kazi haziendi(darasani,mabenki,ofisini),mashuleni,barabarani kuanzia watembea kwa miguu hadi wale wa Kimara-Gerezani,waendesha mitumbwi hadi nyambizi!Kimsingi ni zaidi ya janga!!
Hazijaibiwa bali zimetumika ima bila maelezo ya kujitosheleza au nje ya bajeti iliyopitishwa na bunge! Jibu ni jepesi wafuatao haiyamkini wakawa na majibu mujarabu
>Wabunge wote walioachia ubunge wao na kupelekea chaguzi za marudio! Kauli zao zilikuwa "Tunaachana na vyama vyetu ili kuunga mkono...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.