Jipatie taarifa na maarifa mbalimbali kuhusu sekta ya miliki kuu kupita jarida hili.
Soma Jarida la The Darproperty bure, fuata link hii The Magazine(March 2019)
this tym it will be held in three different cities,Arusha,Dodoma and Dar es salaam for further information go check our website
DarProperty: East Africa's Ultimate Property Guide
This is a unique property exhibition ever happened in Tanzania.The event will feature top brands in the real estate ,sub sector,that include but not limited to:Real estate developers.Real estate agents,mortgage lenders,constructions and building services providers.
For further details...
Unalolisema lina ukweli lakini litatengeneza the negative effect huko mbeleni, yaani, kama interest rates zikishuka watu wengi wataweza kumudu kununua nyumba, hili lisipoenda sanjari na ongezeko la idadi ya nyumba tutafikia sehemu idadi ya nyumba haitatosha maihitaji hivyo kupandisha bei za...
Limited space available to the biggest real estate exhibition in Tanzania. Don't miss out call now and book your space among the greats in real estate.
Tanzania Mortgage Refinance (TMRC) imetoa ripoti ya soko la mikopo ya nyumba Tanzania kwa mwaka 2015.
Ufuatao ni muktasari wa ripoti ya TMRC;
Soko la mikopo ya nyumba limeandikisha ukuaji mdogo wa 1% tu katika robo ya nne mwaka 2015. (Robo ya tatu ya 2015 ukuaji ulifikia 6.7%) Mlinganisho wa...
Linda nyumba yako na eneo lako la biashara dhidi ya moto na wizi. Mfano; Jihakikishe (insure) nyumba yako au eneo lako la biashara la thamani ya TSH milioni 100 kwa kiwango kidogo cha TSH. 150,000 tu kwa mwaka. Jihakikishe sasa na Darproperty Insurance.
Piga simu no. 0654058869.
Wakati...
Ukiwa na mipango mizuri kuwa na nyumba nzuri inawezekana. Kabla ya kuchukua hatua panga na fanyia uchunguzi mipango yako. Je itakuwa rahisi zaidi kuchukua mkopo wa nyumba kujenga na kuhamia kwenye nyumba yako huku ukilipa mkopo taratibu au kupanga na kujenga taratibu?
Darproperty Mortgage...
Watanzania wanaonunua nyumba kwa mikopo ya nyumba kutoka kwenyye taasisi za mikopo wanaokoa mpaka Tsh. 51,336,000 (USD 18600) kwa mwaka tofauti na wanaoamua kupanga.
Marejesho ya mkopo wa nyumba ya makazi ni nafuu kulinganisha na kodi ya nyumba ya kupanga katika maeneo ya jirani na jiji. Kwa...
Karibu 2016, mwaka huu tutarajie kushuhudia mabadiliko makubwa kwenye sekta ya milki (real estate). Baada ya kuikaribisha serikali ya awamu ya tano ya Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania chini ya Raisi Dr John Magufuli. Raisi mpya, serikali mpya na mipango mipya.
Utabiri huu ukwa kiwango kikubwa...
Soma jarida la Darproperty la mwezi huu lililosheeni makala zilizofanyiwa uchunguzi, nyumba, viwanya na bidhaa bora zaidi za sekta ya ujenzi na nyumba.
Usikubali kupitwa, Bofya hapa The Magazine
We have made your life even easier download The Darproperty App on your device now and have access to real estate latest news and insights and the all the properties available in the market through out East Africa anytime any where.
We are East Africa's ultimate property guide.
Simply click the...
Kuwa mbunifu na ufanye ukuta wako uwe wa kuvutia kwa gharama nafuu. Pakaa rangi ukuta wako kwa kutumia lola ya kupaka rangi na ubadilishe muonekano wa nyumba yako. Inashuriwa kupakaa rangi ya chini (msingi) iwe ime poa na ya juu iwe ikolea zaidi (bofya apa kuangalia rangi mbalimbali Plascon...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.