Hivi mifumo haisomani, yaani integrated? ambapo kitu kikikatwa kinaingia mahala pake?
Hata hawa waliokopa bank ambapo salary slip itaonesha wamekatwa na bank hizo hela hadi mwajiri azipeleke Bank?
Sijui kuhusu hili naomba kuelimishwa
Mtego mzuri ni ule wa kugandiana kama Dogs[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Huu ukiambiwa uweke reheni mali yako, mbona fast tu unaweka kitu mezani ili mtego uteguliwe
Kuna mkasa si uliletwaga humu jamvi miaka ya 2017(kama sijakosea), tukio lilitokea huko Tanga
Sasa kama linaburuzika hadi chini kwanini usilikanyage na ukizingatia kushuka ngazi litakuwa karibu kuburuzika
Pia hukulikamata na kulivuta juu kama mnavyofanya kwenye madera
Mimi ni typing error sababu ya key board
"h" na "j", "t" na "y" zimekaribiana ni rahisi kuteleza na kugusa herufi iliyokaribu.
neno " bahati" nimeliandika vizuri pale mwanzo, ila lingine ndio nimeteleza.
Yeye neno "Mwandri" sio bahati mbaya maana hapo ni lazima kutokana na matamshi yake ndio...
Kazi yake ni kukagua ma kutoa ripoti.
Sualabla kufanyiwa kazi ni suala la serikali.
Kama serikali haiizifanyii kazi basi huo ni "..........wake" - Prof Asad
Sasa kama umevaa ndefu iliyofuata mwili hadi miguu ilivyo, kwanini usianguke.
Kuna vitu huwa mnalazimisha hata hadhira wanaona haviwapendezi.
Nguo ndefu pana utaangukaje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.