Ndugu kweli huna akili timamu. Yani mtu kaachwa kugongwa kimya kimya huko hadi asubiri mpo wote ndiyo aje agongewe chumba Cha lodge mliyofikia, hiyo ni dharau kiwango Cha Flyover. Maana alivyo kuaga anatoka alikuwa na uwezo wa kwenda kupigiwa lodge nyingine, Kwa hiyo itoshe kusema MUACHE na...
Hii kesi hata mm ilishawahi kunitokea! Nenda kwenye tawi hasa ulilofungulia akaunti kuna barua watakuandikisha,Kisha utasubiri ndani idadi ya siku watayokuambia na fedha zitarudi dusco dusco kama zilivyokuwa zinatoka.
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Aaah twin polee nilikuwa nasoma soma story ya INSIDER ila Manta Maana yake ni "bila" yani manta shaka = bila shaka
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Mkuu una uhakika hujaangusha elfu 10?
Halafu huyo mwanamke akatumia fursa hyo ya kujilipia nauli na kukuachia 'chenji' yako yote.
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.