Huyu ni miongoni mwa marais ambao nawapenda sana. Sikiliza kiswahili chake na jinsi anavyoelezea mpaka ya bunge? Mahakama na serikali toka kwenye video hii.
Kuna hela za wahisani zimetumika ndiyo sivyo, anaelezea vizuri sana bila hata jaziba hatua zinazopashwa kuchukuliwa.
Big up president...
Wizara ya nishati imeendelea kushikilia msimamo wake kuwa hakuna mgao wa umeme nchini!
Chanzo;
AzamTV
Sasa kauli yake anasema ni matatizo ya mashine kuwa ni mbovu zikitengemaa hali itarejea kawaida, tatizo Tanesco hawana spinning power reserve (ziada ya umeme) basi huo ni mgao, wateja...
Kuna tatizo la maeneo tofauti kutokuwa na umeme kwa muda mrefu na bila taarifa toka TANESCO. Ni vyema tukapaswa kujua mapema kama ni tatizo la mgao wa umeme basi tujipange mapema kwa kukodisha generators kuokoa biashara zetu.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona wajasiriamali tukutane hapa kwa kubadirishana mawazo juu ya madini ya aina mbalimbali. Ni kwa kuuliza maswali, kurusha picha za madini, kupeana ushauri, kujenga mtandao, masoko, nk.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa napenda kuwaonesha ni jinsi gani madini yetu yakiongezewa thamani yanapendeza. Hayo machafu ni kabla ya kuchomgwa na mengine ni baada ya kuchomgwa. Feldspar hii ni grey colour na imetoka Morogoro maeneo ya Kilindi, wito wangu ni kwa wachimbaji wadogo waongezee thamani madini kwa kuchonga na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.