Search results

  1. S

    credit controller vodacom

    hivi wadau kazi ya credit controller pale voda wanalipa mshahara bei gani ukiwa nifresh from xul na umeajiriwa kupitia recruitment agence..
  2. S

    Job resign

    bro hayamambo hayana mfumo kama umeamua rsgn tu
  3. S

    Airtel Customer Car jobs(nielimiesheni tafadhali)--

    kajaribu kaka siombaya ni heri uanze ukiona haikulip then unaweza ukaipotezea kuliko kukata tamaa kabisa nivizuri kujaribu jambo mwenyewe kuliko kusikiliza maneno yawatu ingawa kweli salary yake ni laki mbili sabini\
  4. S

    Maajabu ya nafasi za kazi UDOM... Kuna nini hapa?

    nenden mkafanye interview nyie acheni kujikatisha tamaa wenyewe
  5. S

    Ict auditing training

    tupeni bei
  6. S

    Hivi watoto hawa wazazi wao hawalipi kodi!!!!

    hyo ndio tz inabid tubadilike tuwe namising mathubut sio manene tu yasiyo na vitendo
  7. S

    Interview National Audit Office

    swala liko hvi system yenyewe iko hovyo watu wana madesa kibao hata sisi ambao hatuhusiki na hyo interview tunawaona watu wanavyo hangaika kutafuta madesa ukijifanya unajua inakula kwako mwenyewe so bora mshkaji alivyo amua kuweka wazi na kutafuta desa la interview.watu wanapewa hadi maswali...
  8. S

    Nssf

    nssf udin umetawala sana
  9. S

    Kilimanjaro kempinski usiku na mchana

    usipagawe hyo ni camera tu npazur lakin sio khvyo
  10. S

    Hivi ni kwanini?

    we a lvng in white men's world
  11. S

    Bhoke na kurudi kwake kutoka BBA

    duuu ebwana eeh kumbe huyu btch alipigwa mjengo ndani ya jumba la bigbrother daa kweli haoni hata aibu hana tofauti na wanawake wanao jiuza barabarani mana ndio ambao hawaoni aibu kwa matendo mabaya wanayo yafanya duu shame on her umaarufu wabei rahisi kweli ni balaa aibu yake mwenyeweeeeee
  12. S

    Tukumbuke majina ya utani kwa walimu shule tulikotoka

    mr OPAMP hyu ticha alifundisha topic ya OPAMP physics f5 miezi mitatu ikabid tumpejina hlo
  13. S

    Kama ulienda shule jibu hili swali!

    lugha imekuja na meli hii labda nikubadilishie kwa kipare
  14. S

    Transcription na soko la Ajira, inawezekana kweli?

    kutafuta kazi pia ni kazi bora uanze mapema na kama unawadau wa ukweli anza ku wa set la sivyo itakula kwako
  15. S

    Mtatiro unapoteza muda CUF...karibu CHADEMA!

    kjana mtatiro anajaziba sana apunguze jazba kidogo ila nimmoja kati ya vijana wapiganaji mimi sithan swala la kuhamia chama fulani ndio suluhisho ingekua watanzania sisi niwatu wakupima,kusikiliza na kuelewa vizuri hoja za hawa wanasiasa tungeweza kupata viongoz wazuri bila kujali vyama..TATIZO...
  16. S

    principles of management

    mu ulize auncle google fasta.atakusaidia
  17. S

    Ni kweli wahitimu wa udom hawaitwi kwenye interview???

    huo ni uongo mkubwa hakuna kitu kama hicho chuo hakiwezi kumfanya mtu akakosa kazi sehemu bali mtu anajikosesha kazi mwenyewe na ndio mana kuna interview..
  18. S

    Dv 4.19 pcb niende wapi?

    sio kilamtu njia yake inakua nyoofu wapo ma profesor kibao ambao wamesha wah kuwa na wakati mgumu kimasoma kama huo ulio nao kwahyo usikate tamaa kikubwa angalia nikipi unachotaka kukisoma napia uangalie na uwezo wako pia wakimasomo had ukasoma pcb inamana una pass mark nzur form 4.anza na...
  19. S

    kwa kaka zangu wa JF....

    mwanaume kuwa napesa ni sawa na dem kuwa mzuri pesa ndio kila kitu ..kama huamini angalia pesa inavyo wahandsamisha watu..na mwanaumekusifiwa kuwa ni mzuri huku kwetu sio sifa nzuri
  20. S

    Kuhusu NMB

    nivizur kijana kuuliza ili ujue utaanza kunegotiate nao vp jamaa wanalipa vizur sana hongera ka komae nao kwa IT kama umesoma nnje jpange fresh tu ajira unachukua hyo...ila kbongo bongo skuhzi sio unajua nini bali unamjua nani.best wshez
Back
Top Bottom