Hivi; huu upumbavu utakoma lini? Si Kila anaenungunika alikua hana kipato halali.
Haitaji kua na elimu ya msingi darasa 4, eti ndipo ujue madhira yanayo wakumba wakurima wa nchi hii kwa awam hii ya 5.wakulima wa Rudewa hawana wa kumuuzia Mahindi hata kwa hiyo bei ya kutupwa ya debe 1tsh 3000...
Silaha zote hizo? Kg ajitokeze mbele ya wandishi atoe ufafanuzi wamambo yafuatayo:
Mosi; alianza kumfuatilia lini?
Mbili:mapambano yakumkamata
yamesababisha vifo, au majeruhi kwa
Kwa pande zote mbili?
Tatu:usalama wetu kama nchi uko wapi kama m2 mmoja anaweza kumili silaha zote hizo...
Hii tim, kimataifa inafanya vibaya kwasababu:mwenyekiti, hana uzoefu na michuano ya kimataifa. Achilia mbali ile ya ubingwa ,hata ya kilafiki ni 0. Baada yakukabidhiwa timu kama mwenye kiti,alianza mikakati ya ushind.ikiwa nipamoja na kupiga marufuku wachezaji wote"kunywa viroba" haikuishia kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.