Habari zenu wadau wa michezo hapa jamvini.
Kama kawaida ni wiki ya kushuhudia CAF CHAMPIONS LEAGUE game za pili kwa makundi na timu zote.
Kutokana na hali hiyo, kuna game 1 tu kati ya game zote 8 za raundi hii ambayo ndio Clasic, kubwa, yenye ushawishi na yenye kuvuta hisia za watu wa soko...
Maisha yamebadilika sana, watu wameongezeka sana, utandawazi nk.
Vyuo, vimeongezeka na wahitimu wameongezeka maradufu.
Hali ya Ajira ni changamoto sana kwa vijana hawa. Hali hii imepelekea mrundikano mkubwa wa wahitimu mbalimbali nyumbani.
Katika hali kama hii ndipo suala la usaili...
Ni dhahiri wa shahiri kuwa watanzania wengi hawana uelewa wa mambo mengi, na kwamba wako tayari kuchukua upande mmoja pindi itokeapo hoja yoyote ya nchi, haijalishi ina maslahi au haina maslahi kwa Taifa letu.
Suala la Bandari, limekuwa hyped sana kwa siku 2 hizi, upande mmoja ukisema Bandari...
Wanabodi habari za siku
Nimekaa nikaangalia namna nchi yetu tunavyoendesha Chaguzi zetu hasa huu Uchaguzi mkuu, na zaidi hapo kwenye Urais.
Urais ni level kubwa sana ya Kiutawala na Uongozi nchi hii na karibu nchi zote Duniani. Rais hatakiwi kupatikana kirahisi rahisi tu.
Mchakato wa kumpata...
Kila nikiangalia game kwa angle zote, na kwa wataalam wote, matokeo yanasomeka USMA 1-3 YANGA.
Kila mkulungwa niliyemuuliza anajibu Yanga tayari ameshachukua Kombe hilo.
Nami nawatangaza RASMI MABINGWA WAPYA WA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA KUWA NI DAR YOUNG AFRICANS.
MATOKEO YA JUMLA YATAKUWA...
Nimeangalia mpira wa YANGA vs USM ALGERS nikiwa home SINZA VATICAN hapa.... Sikupata fursa ya kwenda Uwanjani hasa nikijua wazi kupata nafasi itakuwa ngumu + mvua.
Kwa nilivyoungalia mchezo huu kwa kina kabisa. Wachezaji muhimu
AZIZ KI STEPHAN na KENNEDY MUSONDA + MAYELE (Hasa First Half)...
Picha: Marehem Benard Membe
Nimejaribu kukusanya ujasiri wa kuandika japo kwa uchache namna nilivyomfahamu Hayati Mheshimiwa Bernard Kamillius Membe, Mwanadiplomasia mahiri, Mwanasiasa kwa ajali, na Mwanaharakati kwa asili yake.
Wengi walimjua kwa sifa hizo nilizoziainisha. Rafiki zake wa...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza kuwa huu ni utabiri wangu binafsi juu ya mechi hii yenye kuamua hatma ya Ubingwa wa Ligi kuu Tanzania Bara (NBC PREMIER LEAGUE).
Huu ni utabiri tu, unaweza kuukubali au kuukataa kwa sababu zako, ila kwangu nimetabiri Simba atafungwa na Yanga siku ya...
Wadau wa michezo, weekend hii tutashuhudia game za kibabe katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika sambamba na ile ya Kombe la Shirikisho.
Pamoja na kuwa game nyingi ila hapa mimi nitajikita katika kutabiri game mbili tu, hasa zinazotuhusu sisi Watanzania. Utabiri huu utazingatia zaidi hali ya...
Habari zenu ndugu, wadau na wanabodi.
Jana (08/10/22) kulipigwa mbungi la klabu bingwa Afrika kati Yanga vs Al Hilal, na matokeo yalikuwa sare ya 1-1.
Binafsi mimi ni mfuatiliaji wa mpira tangu miaka ya mwishoni mwa miaka 1990. Na ni mpenzi mkubwa na Mwanachama wa YANGA, na huko Majuu basi...
Ikiwa ni majira ya Saa 4 usiku huku niliko, na Saa 5 Usiku hapo Nyumbani Tanzania, napenyezewa habari nzito kidogo kutoka mitaa ya Msimbazi.
Ikiwa imepita miezi miwili tangu dirisha la usajili lifunguliwe, pilika nyingi za usajili zilifanyika, Umafia, ubabe, ukatili na hata jeuri ya fedha...
Wadau habari za usiku, ni matumaini yangu mko poa kabisa, na kwa wale wenye matatizo ya basi M/Mungu wafanyie shufaa warudi kwenye hali zao za awali.
Mara baada ya salamu na dua zangu kwenu basi niende moja kwa moja kwenye mada husika. Na kabla ya kuzama ndani MIMI NI MPENZI WA YANGA hapa TZ...
Katika hali ya kushangaza, Klabu ya Simba Sc imetumia Pasi kutoa logo za Sportpesa na kubandika logo za M-BET katika jezi za mazoezi, safari na hata vifaa vya mazoezi.
Kulishindikana nn kuprint jezi mpya angalau pisi 100 mkaweka hiyo logo ya MDHAMINI mpya??
Au hao SPORTPESA bado wanatangaza...
Klabu ya Simba kupitia mtendaji mkuu wake Bi Barbara Gonzalenz imesema tangu walipoanzisha utaratibu wa kuchangia ujenzi wa uwanja wa Klabu kuanzia mwezi wa 12 mwaka 2021 hadi Mwezi huu wamekusanya Milion 60 tu.
Karibuni wanaJF tujadiliane ukweli wa taarifa hii.
Habari zenu wadau,
Kama itakumbukwa hapa Jukwaani watu wengi tulisema saaana, tulitolea ufafanuzi ni kwa namna gani KAMPUNI hupata pesa zake na hata hatari iliyopo mbeleni ambapo wananchi watakuja kuibiwa pesa zao.
Miezi sasa imepita na hakuna mrejesho wowote wa pesa ambazo zilizokusanywa...
Habari za jioni wana JF. Nimuombe Mungu azidi kuwajaalieni Afya, riziki, na nguvu zaidi.
Haya twendeni kwenye mada.
Kwa wiki kadhaa sasa SA kumekuwa na wimbi la maandamano sehemu mbalimbali za miji kama JOBURG (JOZ), DEBENI (DURBAN) nk. Maandamano haya wameyaita kwa jina la OPERESHINI DUDULA...
Jana wakati natoka kazini, nilipata wasaa wa kupitia maeneo yangu ya kujidai TABATA. Kwa bahati nilikutana na kijana mmoja ambaye nilimfahamu kupitia kazi zetu hizi.
Kwa bahati mbaya sana alinijulisha kuwa wamesitishiwa mikataba yao, mbaya zaidi ni kwamba wameambiwa mwisho ni IJUMAA yaani jana...
Wakati Mh Rais Uhuru Kenyetta anatoa hotuba yake kulikuwa na mwingiliano wa Adhana kutoka moja ya msikiti ulio karibu na uwanja ule.
Cha kushangaza mara baada ya kusikia hivyo alilazimika kusubiri mpaka adhana ile iishe. Hii inaashiria nini wanabodi? Au alitulia tu kwa huzuni yake?
Habari za usiku wadau wa JF na poleni na mihangaiko ya maisha yenu. Hakika mungu atawapa rehma zaidi.
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Maisha yamebadilika sana tena sana, wasomi ni wengi, wasiosoma pia ni wengi lakini mbaya zaidi fursa za kiuchumi ziko shared kwa pande zote mbili hizo. Sasa...
Habari zenu wadau.
Naomba msaada ni kwa namna gani maweza ipata Simu yangu ambayo imeibiwa Dukani ikiwa kwenye box lake yaani haijafunguliwa, kwamba aliyeiba ndio atakuwa mtu wa kwanza kuitumia.
Nawezaje kuipata?
NB: Imei namba ipo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.