Mambo 10 nilioyaona Simba Vs Yanga
Cc @ALIKAMWE
1: WHAT A GAME[emoji119] CLASSIC [emoji119] One of the best perfomance kwenye 'derby' ya Dar es Salaam. Viingilio vimeenda kihalali
2: Yanga walikua bora sana kipindi cha pili, walifanya kile ambacho timu nyingi hua zinaogopa kuwafanyia Simba...
Wale wazee wa Grammar,,,, embu njooni mtuambiee hapa....! Someone asked "are you with it"?
Which is the best answer to be answered amongst of the following,,,,
a) am not with it...
b) its not with me..
Regards..!
MANCHESTER UNITED NA KILICHOTOKEA MWAKA 1999.
Na Tom Thomas
Mwaka 1999 unabaki kuwa mwaka bora kwenye historia ya Manchester United. Mafanikio yaliyopatikana yanaufanya kuwa mwaka bora na wa kipekee sana. Ni mwaka ambao klabu ilifanikiwa kushinda mataji makubwa matatu. UEFA Champions League...
Nitachangia kutokana na ufahamu wangu wa mambo hasa kutokana na hii dunia kuendeshwa kwa siri kubwa sana ..
Kila mchoro hapo umewekwa kurepresent jambo flani kulingana na umuhimi wa mchoro au mhusika alionao kwenye ulimwengu unaonekana...
Picha ya Trump inaonekana ,pia Putun anaonekana ,kuna...
[emoji252] ..Kwa Maneno Haya Lazima Akusamehe..
[emoji420]..Usiniache kwenye Dunia ya maumivu,usiniache kwenye mvua ya sononeko, njoo unirudishie tabasamu kwenye maisha yangu. Njoo unibusu na busu lako litokomeze maumivu haya.. Bado nahitaji joto tamu la huba toka kwako,,, njoo baasi unifute...
Habari za muda huu Wakuu...
Heri ya sikukuu ya Pasaka
Nipo hapa kwa jambo tu kuwaulizaaa wale wajuzi na watalaam wa muziki na Pianists.. [emoji446][emoji443] ..... Nimekuwaaa nikijulizaaa sanaaaa katika hiliii swala bado sipatii jibu,,,,
Katika Suala la Music kuna aina mbiliii kwa uelewa...
Habar za mudaaa huu wakuu...
Nimechaguliwaaaa IFM kusomaaa BACHELOR OF SCIENCE IN SOCIAL PROTECTION..
ina deal na nin hasaa... Nahitaj ufanunuzi wakui...
Hiv kati ya hizi faculties ipi ni nzuriii zaidi... Hasa kwa arts...
1.Bachelor of science in land management and valuation..
2.Mass communication..
3.B. Law..
Sent using jamii forums mobile app
Habar za mda huu..
Wadau naomba mnisaidiee.. Wakati nafungua fb acc yangu katika kuiprotect nili allow ile "CODES APPROVALS" kwa no angu yangu ambayo nmeuingia fb..
Kuna ck nikalog out... sasa nikitaqa kulog in teenaa wananambiaa log in by aprrovals codes ambazo wanazituma kwenye no angu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.