Hapa ndio shida ilipo, wakati watu wanakula matunda ya uwekezaji wao wengine ndio wanaona unyonyaji, wamesahau kua watu waliwekeza nadio maana wakajulikana.
Watu wakiwekeza kwenu mkishatoboa mnasahau mnaanza kiwavimbia, Harmonize alisahau kabisa kuwa watu waliwekeza kwake, Hakuna msaada kuna uwekezaji mlijue hilo kwanza.
Katika nchi zenye uwezo kijeshi Israeli mtoe, ule uongo mliokua mkidanganya marahii umefika mwisho. Hana uwezo hata wa kupigana na wanamgambo, mwezi wa sita huu anahangaika na Hamas. Kuporomosha majumba na kuuwa wanawake na watoto huo ni wendawazimu sio vita.
Sasa kama huna hayo unayoyaita makaratasi unataka balozi afanye nini? Ubalozi Uturuki unafanya kazi nzuri tena mnatakiwa mumshukuru balozi maana mnatakiwa mfikie jela.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.