kwani kama wanapata fedha nje kuna tatizo gani hapo?mbona tunadaiwa trillion 40 zote za nje .asiwadanganye mtu yeyote kila mtu anapata fedha nje.hao wanaopata ndani ni za walipa kodi wetu halafu wanazichezea.acheni propaganda jibuni maswala ya msingi yanawahusu wananchi fanyieni kazi mawazo ya...
Hii Tanzania siyo ya mwaka 47 iliyopita tunaelewa kila kitu kinachoendelea hapa .\
Hebu tujiulize maswali machache hapa;
Leo hii TBC wanarusha mdahalo kwa nini?
kwa nini midahalo ya Udasa pale mlimani hawaendi?
Kwa nini mdahalo usiwahusishe na watu wenye mawazo kinzani?
Kama Zanzibar ni huru...
Hakuna sababu ya kubishana hapa mwenye akili utamjua tu huhitaji hata kukosoa mtu ukweli wote unajulikana.
Jiulize maswali haya machache
Kwa nini watu wana hofu sana na serikali tatu wakati bado hatujaamua kuingia humo?
kwa nini chama tawala wote wawe na msimamo mmoja?
Kwa nini Rais amjibu...
Wana Jf tupange safu ya wachapa kazi hapa chini.
Prof Muhongo ---Nishati na Madini
Dr Makyembe---Mambo ya Ndani
------------
--------------
------------
Malizia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.