Search results

  1. goggles

    Wasanii wa Tanzania wanaishi katika mfumo wa chama kimoja, vipaji vyaweza kudumaa

    Wasanii wote wangekuwa wanaishabikia CDM ungekuwa unashangili kimende mende. Manina mende usiye na jinsia.
  2. goggles

    Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza Wananchi barabarani

    Huyo ameandaliwa na mabeberu kuleta machafuko katika nchi yetu. Atachafuka yeye kabla hajaichafia Tanzania. Sijui hawakukiona kichwa!!
  3. goggles

    Tunazidi kupaa bila KQ

    Lakini mnaimport toka Tanzania!!
  4. goggles

    Uchaguzi 2020 Kundi la WhatsApp lachukua sura mpya baada ya Tundu Lissu kutangazwa Mgombea Urais CHADEMA

    Mbona waliyotumbuliwa wengi tu wamegombea udiwani na ubunge kupitia ccm?
  5. goggles

    Uchaguzi 2020 Tuungane kwa umoja wetu kama Taifa tuikatae CCM, miaka 59 imetosha

    Mungu alimuokoa na kifo Lissu ili ashuhudie mchakamchaka wa maendeleo wa mh JPM. Ili ajitambue kwamba yeye ni mnafiki
  6. goggles

    Uchaguzi 2020 Tuungane kwa umoja wetu kama Taifa tuikatae CCM, miaka 59 imetosha

    Ungeweka mafanikio na matatizo na tukafanya malinganisho ndiyo tungejua ya kuwa tuikatae ccm au tuirudishe. Sasa wewe umeandika kama kwamba hakuna mafanikio yoyote yaliyofanywa na ccm tangia iingie madarakani. Uandishi wa aina hii ni wa mtu mwenye uwezo mdogo sana wa uelewa.
  7. goggles

    Posho za maaskari kulikoni, tarehe 30 imeshapita au tumeishiwa

    Anaudhi sana huyo mtoto. Wengi tunajua askari hajisaidii haja ndogo wala kubwa kwa sababu ya staha wanayokuwa nayo wakitaka kujisaidia. Hivyo ukimuona askari anajiasaidia hadharani tena akiwa in uniform lazima ushangae. Na huyu kuanika shida zake hapa jukwaani sidhani kani ni maadili mazuri kwa...
  8. goggles

    Kenya isilegeze kamba kwenye kuban Watanzania

    Tony254, Ukuta wa Merereni unawatesa kweli nyie. Toka namba mbili kidunia hadi 0+. Huyo ndiye JPM mtamkubali tu.
  9. goggles

    Posho za maaskari kulikoni, tarehe 30 imeshapita au tumeishiwa

    Wewe kuro uliyetolewa malinda na Nyani halali yako ni mshahara, posho ni hisani tu. Anzisha plan B urahisishe maisha. Kwani watumishi wote wa Tanzania wanalipwa posho? Ninavyojua mojawapo wa maadili ya askari ni uvumilivu na usiri. Wewe ni askari gani usiye na maadili!!
  10. goggles

    Hoteli wanayopika ugali asubuhi

    Kwa maana moja au nyingine ni kwamba wewe umetembelea hotel zooooote za dar na ukabaini ya kuwa hiyo hotel pekee ndiyo inayopika ugali asubuhi!!
  11. goggles

    Uchaguzi 2020 Ukweli mchungu: Zipo kura za WanaCCM wa JF kwa Lissu, hazipo kura za wanaCHADEMA wa JF kwa Rais Magufuli. Ushindi unaanzia hapa!

    Wewe huelewi tafsili halisi ya kuongeza mishahara. Ukithibiti mfumko wa bei hakuna athari ya kutoongezeka kwa mshahara. Ukiongeza mshahara na mfumko wa bei ukatokea hiyo siyo tafsili halisi ya kuongeza mshahara.
  12. goggles

    Uchaguzi 2020 Mtihani mkubwa ulio mbele ya CHADEMA ni kupata fedha za kampeni za Urais. Chama hakina fedha na Mgombea hana fedha

    Elewa Tundu Lissu amezunguka nchi nyingi za ulaya. Huko alikuwa akienda kupiga kopo la msaada kwa ahadi ya kuwalipa akipata U-JPM. La kujiuliza ni kwamba atawalipa nini baada ya kupata urais?
  13. goggles

    Uchaguzi 2020 Ukweli mchungu: Zipo kura za WanaCCM wa JF kwa Lissu, hazipo kura za wanaCHADEMA wa JF kwa Rais Magufuli. Ushindi unaanzia hapa!

    Sema usema, wadanganye uwadanganyavyo na ongopa uongoavyo lakini Raisi ataendelea kuwa JPM. Hatuko tayati kutomchagua JPM÷ 1. Mladi wa SGR usiendelee 2. Mladi mkubwa wa umeme usiendelee 3. Flay over zisijengwe 4. India wakawa wa kwanza kwa mauzo ya Tanzanite Funiani 5. Kenya wakawa wa pili kwa...
  14. goggles

    Uchaguzi 2020 Kumchagua Tundu Lissu kuwa Rais ni kuikabidhi Tanzania kwa Mabeberu. Tusifanye kosa twende na John Pombe Magufuli

    Kamwe hatuwezi kuwa na amiri jeshi wa vile. Atakagua vipi gwaride la makamanda wetu wakakamavu. Elewa ulemavu wa kiongozi ni ulemavu wa nchi anayoiongoza. Tuna akili timamu hatuwezi kulemaza nchi yetu kwa kumchagua Lissu
  15. goggles

    Uchaguzi 2020 Kumchagua Tundu Lissu kuwa Rais ni kuikabidhi Tanzania kwa Mabeberu. Tusifanye kosa twende na John Pombe Magufuli

    Mkuu jipe moyo kwa hilo. Lakini wenzio wakiongozwa na huyo Tundu wenu wanajua watashindwa vibaya na mwamba JPM na kwa kuficha hiyo aibu wameanza kuweka visingizio vya kuibiwa kura.
  16. goggles

    Uchaguzi 2020 Kampeni za uchaguzi wa Rais kwa CHADEMA zitagharamiwa na nani?

    Chadema itapigwa tafu na belgeum na act itasaidiwa na ujeruman mkuu.
  17. goggles

    Mambo (10) kumi usiyo yajua kuhusu Rais John Pombe Magufuli

    Amewezesha nchi yetu kuingia uchumi wa kati. Ina maana hujasikia taarifa hiyo iliyotolewa na world bank!!
  18. goggles

    Membe, Tundu Lissu si karata sahihi kupeperusha bendera kupitia Muungano wa Vyama vya Upinzani Uchaguzi Mkuu 2020

    Kuna watu wanazaliwa wazima kisha wanaugua polio na kuwapelekea kupooza miguu yote. Je hao hawaitwi viwete?
  19. goggles

    Bernard Membe arithi nafasi ya Maalim Seif, ateuliwa kuwa Mshauri Mkuu wa ACT Wazalendo

    Huyu Zito si ndiye aliyekuwa akiishutumu CCM ya kuwa inawapokea viongozi toka upinzani na kuwapa madaraka makubwa!! Sasa yeye kafanya nini!! Kweli nyani haoni KUNDUle
Back
Top Bottom