lol hii mada imenivutia let me share some thing with u nice ladies.. kwa upande wangu napenda kuvaa nguo ndefu i mean kama sketi basi ndefu mara nyingine navaa hata baibui(hijabu), viatu simple shoes, nywele mara nyingi napenda kusuka rasta wivingi na wigi sio mzuka kwangu, napenda saana vidani...
mamboz wadau,
naombeni msaada wenu wa ku unlock moderm yangu ya voda ili niweze kutumia mtandao wowote maana voda ipo expensive sana na hizi ela zetu za mawazo ni noma.
natanguliza shukran
Kwenye mapenzi kati ya watu wanaopendana kujaribiana na kupimana ni kitu cha kawaida huyo mwenzi nwako alikuwa anataka kujua msimamom wako na kujua ni jinsi gani unampenda ukizingatia ulishawahi kumtosa mwanzoni na kumwachia na kiumbe, cha msingi kama unampenda kweli we endelea naye na mulee...
Kwa kutumia modem unaweza kununu kifurushi(bandle) cha mb 20 kinachoisha baada ya mass 24 ila inategemea na juhudi zako za kutumia km unatumia sana unawezakushangaa mb 20 zimeisha kabla ya masaa 24 na km hutumii sana unaweza ikabaki hata baada ya mass 24 kwisha ila ndo hutoweza kuitumia tena...
duh pole sana kaka ila yakubidi uchunguze chanzo cha mkeo kuchukia nduguzako inawezekana ndugu zako wakawa hawampendi mkeo ndio maana na yeye hawapendi.....cha kufanya nenda kaseme kwa ndugu wa mkeo ili wamkanye mtoto wao na akishindwa kubadilika mpe likizom ya japo mwaka akakae kwao then...
nnaposema sipo tayari kumpoteza i mean nampenda sana na kumuacha sio rahisi kwanza tumefikia hatua nzuri tu sasa na nikimuacha itabidi nianze upya kutafuta mwingine na wanaume wenyewe hamueleweki then malazi mengi[
jamani sdhan km nilianza nikiwa na umri mdogo, nilikua nshaanza chuo dat time naanza hayo mambo.......na sasa nina zaidi ya 25, kuwa ni yeye anaetoa damu mmh ndo kwanza unanifumbua macho inawezekana eeh ngoja nilifanyie kazi
thanx michele, kuhusu uume mkubwa some how i can say yes yaanin Mashaallah. na akianza huwa atumii nguvu bt inapokua katikati mechi imechanganya nadhan mzuka unampandaga anajikuta anaongeza spidi.....ila kuna baadhi ya siku tukiwa tuna doo damu hazitoki naninavosema damu simaanishai damu km...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.