namkumbusha pia Mdogo wangu Ummy aagize uchunguzi kama hao wahasibu/wakaguzi wenye CPA :-
1. wanalipwa sawsawa na vyeti vyao?
2. walilipwa stahiki zao zote zilizopo kisheria?
3. waliongezewa mshahara kila mwaka waliokuwepo kazini?
4. hakuna watu wasio na CPA lakini wameshika vitengo vinavyopaswa...
aliekwambia unalipa 10% ya 134M ni mwizi
Itoshe kusema hao maafisa TRA wenyewe hawajui capital gain tax inatozwa vipi na wameumiza watu wengi sana
1/. kusanya gharama ya kununulia kiwanja
2/. kusanya gharama zako za materials na mafundi
3/. thamani ya muda uliotumia kusimamia
4/. jumlisha...
kwa sasa Tanzania hatuna kampuni inaitwa BP acha ushamba (and BP ni British Peteoleum) ambayo kwa sasa ni PUMA serikali ina percentage zake nafahamu - Shell ilishakufa.
itoshe kusema unachotaka kujaribu kuongea ninakijua - ila elewa wawekezaji wanataka kuondoka wakijua fika hakutakua na fair...
hivi unaelewa sababu za privatization??
hivi hujui tunarudishwa Ujamaa ambao ulitushinda? sasa mwenyekiti ataweza urudisha within 4yrs? au tuamini maneno ya Nkamia na yule Kesi wa Nkasi - kubadili katiba na kukaa milele?
sio TOTAL tuu, na Oryx pia wanajitoa kufanya hyo biashara moja kwa moja (yani mguu nje mguu ndani)
ukiangalia kwa jicho la mbali utaona ni sababu ya TPDC kuanza na vituo100 - hakutakua na fair ushindani yaleyaleeee ya Fast Jet
Sio ajira za upendeleo, ajira hakuna kabisa waliofukuzwa kazi kwa kigezo cha vyeti feki ni wengi na hatukuona replacement take
1. zile ajira za uhamiaji kila mwaka zimekoma
2. zile ajira za jeshi la polisi za kila mwaka zimekoma
3. zile ajira za magereza za kila mwaka zimekoma
4. ajira za jwtz...
hatukufwata barabara wala mataa barabarani, na kama tunataka tutaweka wenyewe hali zetu zinaporuhusu
Tanga/Tabora/Morogoro/Dodoma kila siku CCM inaongoza kumefanyika nini?
miaka 59 ya Uhuru bado unaitikadi za kikoloni,serious??
2015 - nilimchagua Kippi na Magufuli
2020 - nitamchagua Halima na...
uyo aliempga mwenzake kwa kuitwa bangi sana sio sawa, binafsi sivuti na sijawahi lakini nimeshaita watu sana "we bangi unajua" na hakukua na reaction ile
huu ni msemo kwa vijana wenye tafsiri tofauti, labda km walikua na visa nyuma ya - so wakawa wanatafta sababu, ila video nyuma ya jukwaa...
hyo katiba itakua ni ya kutokua na mwisho wa rais kuongoza na kutotoka madarakani
tunaiendea Rwanda n Uganda very soon
jamni bora tuende ata chama cha mafisi kuliko hapa tulipo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.