Sasa jamani Uchaguzi ukiendeshwa wanavyotaka kwamba mgombea hana sifa hajui kusoma wala kuandika, hajui kuandika hata tarehe yake ya kuzaliwa, huo utakua Uchaguzi au mkutano wa Chadema maana tunajua huko Chadena tunajua anachosema mzee wa Bilicanas hakipingwi.
Ila binafsi sishangai kwa sababu...
wenzake wanatangaza sera zao yeye kutwa analalamika kwenye kampeni akishindwa ataibebesha lawama Tume wakati hana hoja za kuwashawishi wapiga kura wamchague.
Kama vp na yeye atafute wanafunzi wake awapeleke kwenye mikutano yake, lakni ajue hata hao wanafunzi wanasikiliza Sera sio matusi na...
Tumeshamjua Lissu amerudi Tanzania kuhakikisha anavuruga uchaguzi ili awape mabwana zake huko Ulaya sababu ya kuutia kasoro uchaguzi maana anaamua kuishambulia Tume ili imchukulie hatua za sheria alafu ionekane anaonewa. Ila kama kweli anayo malalamiko ya maadili apeleke kwenye kamati za maadili...
majukwaa ya kampeni sio njia ya kufikisha malalamiko ya kiuchaguzi.huyo lissu alichukua hatua gani kuwasilisha malalamiko kwenye kamati za maadili au amezoea mipasho kila kitu anajua ni siasa
Mimi tofauti ninayoiona ni kwamba huku NEC inaonekana wagombea wengi walioxhukua fomu ni mabwege na walilazimisha kuwa na sifa za kugombea wakati hawana, sasa NEC imelazimika kuwakata kwa sababu kama mgombea hajui kusoma na kuandika alafu analazimisha kupitishwa, mi naona NEC ilikuwa makini...
Kwan kinachoendelea sasa ni wewe bwege, iache tume ifanye kazi yake na kumbuka ni Tume huru isiyofanya kaz kwa mashinikizo yenu, we subiri kama na wewe umekata rufaa utapata majibu yako
sijawahi kuona Dr mwoga kama wewe, kwa nn usimtaje uyo mgombea.Ila najua kwa sababu ni majungu yako dhid ya uyo mgombea huwez kumtaja, sasa sidhani kama kuna tume inayoshughulika na majungu ya vijiweni.
Mngekuwa serious kuiongoza hii nchi msingetuuliza hayo maswali.Nyinyi endeleeni tu kukesha mitandaoni na kusoma vitabu vyenu vya ujasusi badala ya kusoma Sheria na Kanuni za Uchaguzi mnazopewa kwenye vikao na Tume.
Shida yenu wakati tume inapowaalika kwenye vikao vya kikazi mjifunze na kuuliza...
Ukitaka kuamini kuwa Mnyika ni mnafiki, mwoga na lengo lake ni kuwateka kiakili Watanzania wajinga, kwa nini hayo maneno hakusema kwenye mkutano na badala yake aliwaita waandishi pembeni akawalisha upuuzi huu ndio maana hakuna hata chombo kimoja kimeripoti zaidi ya mitandao ya CDM.Mi...
Mtoa hoja kama umeshindwa kufikiri kwamba magari ya Serikali hununui kama maharage kwa Mangi maana yake kuna siku utatuletea post utuambie bunge livunjwe na majukumu mengine ya Serikali yasitekelezwe pesa zake zinunue barakoa.Acha ujuha na kutaka kutufikirisha mawazo unayoyatoa kama unafikiria...
Mtoa hoja usipotoshe watu, Chadema imemuandikia Msimamizi wa Uchaguzi Mbeya na sio Tume ya Taifa ya Uchaguzi.Unavyoonekana hujui unachozungumzia ila kwa kifupi Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hausimamiwi na Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Mtoa post hebu jitahidi kujifunza mambo kabla ya kuanza kukosoa, kwa mujibu wa sheria ya taifa ya uchaguzi kabla ya wasimamizi wa uchaguzi hawajaanza kutekeleza majukumu yao sheria inawataka wale kiapo cha kujitoa uachama wa chama cha siasa na hiyo ni sheria iliyotungwa na Bunge kwa hiyo hilo...
mi sidhani kama haya madai yako kama yana ukweli wowote, siku zote tume inapotekeleza majukumu yake inanukuu vifungu ya sheria na katiba sasa huo ufeki unatoke wapi labda utuletetee ibara za katiba na vifungu vya sheria unavyovisimamia kwenye hoja yako.
mi nadhani kwa sababu katiba na sheria...
inaonekana mtoa post umetoka kulala unatusimulia ndoto yako, wenzako wanafikiria jinsi ya kuijenga tanzania ya viwanda we unaendekeza ndoto za kusimuliwa ambazo haziingii akilini.Afu unamtaja raia kama mjombaako hujui huyo ni mkuu wa nchi mpe heshima yake
Kama una wivu na cheo cha Jaji au Uenyekiti wake, nenda ukasome nawe uwe Jaji, lakini binafsi nampongeza Jaji Kaijage, Dk Kihamia kwa majukumu yao wanayotekeleza kwa kufuata katiba na sheria.Endeleeni kusimamia chaguzi zetu kwa kuzingatia sheria.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.