Ndio uliletwa na yeye kwani uongo??alikuwa anapika data tu.alifeli kwa kila jambo mleta mada umesema kweli yote.aliamini kwenye kuvuruga nchi,vuruga uchumi wa nchi na wa wananchi,ukabila ulishamili hasa wa kipande cha wale washamba wachunga ng'ombe.
Mkuu mmoja si alitoka huko huko juzi juzi tu ndio aina ya hao watu,uliona alikokuwa anaipeleka hii nchi???wengi ni washamba na mazuzu kibao huo ndio ukweli japo mchungu.
Ni sawa Nyerere alikuwa yuko vizuri kwa Kiingereza ila aliharibu hadi leo wachache wanaweza kuwa fluent kwenye hiyo lugha,ni hao hao awamu ya kwanza kwa ubinafsi wao wakapindua mitaala ya elimu mara elimu ya UPE,mara masomo yote kwa kiswahili utadhani ndio kilikuja na hayo masomo nchi...
Anaemsujudu yeye alisema wazi kabisa kuwa 2020 hakuna kitu kitaitwa upinzani hapa Tanzania na kweli alilifanyia kazi kwa kushirikiana na Polepole na Bashiru je mbio zao waliweza kumaliza jibu ni hapana ila wao ndio WALIMALIZWA.Chadema ipo vilevile tena inapendwa zaidi.
''HUKO KWENYE BUNGE LA KATIBA ALIFUATA NINI TENA AKAWA NAIBU SPIKA''Hii mada ya Mkuu MMM Umehitimisha kwa swali zuri sana, hawa ndio maccm mahili sana kujitoa ufahamu WANAJUA VYEMA katiba ikibadilika tu wao unawatoa nje ya reli.Nguvu yao kuu ni usalama wa taifa ,tume ya uchaguzi na vyombo vya...
Kongamano la UWT kumpongeza Samia sasa hayo ndio mapokezi ya Shaka mngekuwa mnapendwa hivyo mngehangaika kupora kura na kuvuruga uchaguzi mzima kama alivyofanya yule jamaa yenu kisha akasombwa na mafuriko ya Mungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.