habari zenu wadau wa JF.
kama kichwa cha habari, natafuta office ya kupanga eneo kuanzia kivulini mpaka roundabout ya Mwenge. Office yaweza kuwa ground flow au hata gorofani.
Nb: office iwe karibu na barabara kuu ya ubungo-Mwenge.
Bajeti yangu laki 2 kwa mwezi.
Kama unayo njoo PM faster tuyajenge
Rejea mada tajwa hapo juu.
Chumba cha kupanga kikubwa ft 14 na kuendelea chenye choo ndani, tiles, na gypsum kinahitajika haraka.
Chumba kiwe ndani ya fensi yenye geti.
Bajeti 100k kwa mwezi.
Kama unacho njoo PM mapema
Wadau wa JF habari zenu,
Mimi kijana wenu leo naomba kujuzwa ni chuo gani kwa hapa Dar kinatoa kozi hii ya Diagnostic Radiography kwa ngazi ya Diploma.
Udahili unaanza tar ngapi kwa mwaka huu wa fedha 2020/2021.
Asanteni
Nimekuwa mdau sana wa kufanya biashara kupitia mtandao na njia yangu kubwa ya kuinteract na wateja ni kupitia Whatsapp.
Hivi karibuni napata tatizo la kufungiwa (ban) mara kwa mara kutumia Whatsapp business, na sababu wanayoisema ni kwamba namba yangu imekuwa registered kwenye simu nyingine...
Habari wana jamvi. Swali langu naulizia kama kuna kampuni za kitanzania ambazo ni za kuaminika. Wanaweza kutengeneza software mfano apps na sysytem za kulink mteja na mtoa huduma.
Nataka nitimilize wazo langu .
Picha ya kitu ninachikosemea ni mfano wa booking.com japo mimi nataka niifanye kwenye...
Kwa upande wangu nakumbuka ilikuwa 2003 kama sikosei niko primary. Siku moja jioni kwenye saa 12 jioni naenda zangu kuchota maji bombani karibu na mto, si nikaingiwa na tamaa ya kula muwa. Ikabidi nivamie shamba moja kuiba, aise kumbe mlinzi aliwepo akanikamata na kunifunga kamba.
Hapo niliwaza...
Wanajamvi habari zenu.
Naamini mko vyema na mnaendelea kupambana.
Kuna hii ishu huwa naifikiria sana. Mtaani kuna vijana huwa wanapita na spika wakitangaza kununua pesa mbovu na dola na pesa zingine za kigeni.
Je kwa sheria za fedha za nchini kuna uhalali wa kufanya hii biashara??
Na kwanini...
Mimi ni blogger na mjasiliamali kwenye sekta ya afya kwa hivo natumia zaidi simu kufikia wateja wangu.
Najua humu kuna wataalamu wengi kwa hivo naomba mnishauri simu gani nzuri naweza kuchukua kwa sh laki 5. Kwa kuangalia speed, convenience kwenye matumizi, camera, hard disk na uwezekano wa...
Je uume wangu una urefu sahihi??
Ni swali ambalo kila mwanaume hujiuliza, ili kujiridhisha na kuwa mwenye kujiamini pale anapokutana na mwanamke
Yafuatayo ni majibu kwa maswali yote kuhusu uuume na uwezo wa kufanya tendo la ndoa kikamilifu.
Swali 1. Ni umri gani mwanaume huanza kusimamisha...
Wakuu habari zenu,
Ni kama siku 3 zilizopita nimenunua Tv ya Sumsung M5000, 5 series yenye inch 32. Kila nikiwasha kuna picha moja haitoki kabisa hata nikiwa naangakia movie inakuwa inahama upande mmoja wa kushoto kwenda kulia.
Nimeshindwa kutoa kabisa hii picha wazoefu naombeni msaada...
Kiukweli namkubali sana mshauri huyu na mkosoaji wa serikali kipindi hicho. Ukisikilza nyimbo zake hakika hukosi point iliyojificha na meseji inakuwa sent kwa mlengwa.
Sasa nauliza jama kaenda wapi sasa mbona simsikii tuseme haoni mambo maovu yanayoendelea nchini.
WANAOUJUA ALIPO KWA SASA NA...
Wadau wa tech poleni kwanza na shuguli zenu pamoja na vyuma kukaza.
Nataka kununua friji dogo la kutumia kwa sh laki 4 adi laki 4 na 50 la kunitosha manake nipo single sitakuwa na makorokoro mengi.
Naomba kufahamishwa brand gani ni nzuri na itadumu .na pia vigezo gani vya kuangalia ili...
Wadau wa JF nawasalimu,
Mimi ni kijana mgeni kwenye jukwaa hili, nipo hapa mjini DSM, mpambanaji japo elimu yangu ya kawaida, nimefanikiwa kupata degree moja kwenye mambo ye afya. Umri 26.
Back to the topic. Naomba mwongozo kwa wazoefu namna gani naweza kupata mke hapa JF maana nimechoka...
Nahitaji msaada kama kuna namna au aplication naweza kupaste maneno mengi ya kingereza kisha yakabadilishwa kuwa katika maneno mengine ya kingereza lakini yasipoteze maana.
Mfano neno effect ni sawa na impact sasa nataka namna ya kubadilisha maneno mengi kwa mkupuo..
Kama tunavojua teknologia inakua kwa kasi, binafsi napenda vitu computrized na pia kutumia mtandao kuongeza kipato. Tayari namiliki website 1 na blog 1 zote kwa mambo ya afya . Nipo Dar napenda kukutana na wazoefu wa kuendesha websites na blogs wa hapa mjini tupeane uzoefu nipo open mind nataka...
Wadau wa JF, nimekuwa nkifatilia na kusoma kuhusu nyota tangu nipo primary lakini huwa sipati conectin vizuri kati ya nyota husika mfano mashuke au Nnge na maisha halisi, wakati mwingine huwa nafikria ni mambo ya kichawi, naomba mwenye uelewa vizuri atupe hapa tujifunze
Kwa mwenye uelewa naomba kufahamu kwa hapa kwetu vyuo gani wanatoa kozi ya food & nutrition kwa level ya bachelor wanahitaji vigezo gani. Mwisho Wa kuwasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.