Search results

  1. A

    Mange, you don't look good by making others look bad, jitathmini!

    kule instagram kuna mtu anaitwa kichwapanzi, anamshushuaje mange sasa! Halafu anaweka mpaka na evidence.......mwaka huu tutaona hata tusiyoyatarajia!!
  2. A

    Aunt Ezekiel na Ray wamerudi CCM

    ebu na waendege huko, sie ni mwendo mdundo na ukawa tu!
  3. A

    Mke: Wolper niachie mume wangu

    Christian Bella nae ni marioo???
  4. A

    Mke: Wolper niachie mume wangu

    Namkubali sana wolper gambe a.k.a Jacqueline Wolper Lowassa!
  5. A

    Confirmed: Huu ndio ukweli sababu ya Ray kigosi na Aunt Ezekiel kutoka UKAWA

    Hakika hiyo pesa wahakikishe wanaitumia effectively maana ndo malipo ya movie zao mpaka na zijazo!
  6. A

    Alikiba umetuangusha watanzania

    Afadhali angetunza kura yake akaenda kumpa magufuli ila sio kwa kuwakampenia aiseee!
  7. A

    Alikiba umetuangusha watanzania

    Kwakweli vichambo vipokeeni tu maana hamna namna heheheeeeh! Mie nilikerekwa sana hata zile vote for kiba nimesitisha sasa hivi nina allergy na mapopoma yote yanayoishabikia CCM!
  8. A

    Tundu Lissu: Dr. Slaa ni muongo, watanzania mpuuzeni. Maneno yote tatizo ni Urais

    Hahahaaa masikini Dr Slaa hadi anatiliisha huruma. R.I.P babu teh! teh!
  9. A

    Ali Kiba na UKAWA

    Ni wapi nimesema nataka wote wawe Ukawa?! Mpuuzi mwenyewe
  10. A

    Alikiba umetuangusha watanzania

    Nguvu ya hawa wasanii ni kubwa mno tuacheni utani. Inaudhi mtu kila siku unahangaika kuikampenia Ukawa alafu linakuja jitu moja linapost linawazoa hadi wale ulokuwa ushawashawishi!!! No no not rait! Ally umejua kuniudhi wallah!
  11. A

    Alikiba umetuangusha watanzania

    Yaani nimekerekwaaaaaa pambafffff na nusu! Hivi Kiba huoni kama wewe ni influential person??!!! Hivi ungepiga kimya kwani tungekuja kukuchungulia kuwa unampigia magufuli???!!! Hivi ni nini lakini nyie wasanii kuturudisha nyuma???!!! Si mhifadhi kura zenu jamani mtazipeleka wenyewe kwenye...
  12. A

    Dr. Slaa kuzungumza na Vyombo vya Habari, Serena Hotel - Septemba 1, 2015

    Najua wajua kuwa Dr. Slaa hawezi kuja CCM!
  13. A

    Dr. Slaa kuzungumza na Vyombo vya Habari, Serena Hotel - Septemba 1, 2015

    Hata ahame nani aende wapi......kura ni kwa UKAWA tu! Tushachoka na miCCM vile
  14. A

    Tunauza simple za kike bei kuanzia elfu 4,000 hadi 6,000

    Pm yangu ipo wazi. We nitumie tu namba nitadownload picha hapa za viatu nivopenda then namuonesha whatsApp
  15. A

    Diamond analeta ukabila nchini

    Vipi kuhusu zile msg zilizokuwa zinatumwa kanda ya ziwa kuwa wamchague ngosha mwenzao magufuli.....huko sio kuleta ukabila?!
  16. A

    Diva wajibizana vibaya na Diamond Clouds Fm kwenye kipindi cha XXL

    Halafu huyu diva si alikuwa anamshabikia Diamond huyu??! Akawa anampigia na kampeni kwa madai kuwa amenyooka.....imekuwaje tena?! Lol ncheke mie
  17. A

    Diva wajibizana vibaya na Diamond Clouds Fm kwenye kipindi cha XXL

    Tena asije akarogwa kumkaza diva....yule ni kichaa!!! Zitto anayo habari! Halafu wala hata hanaga aibu
Back
Top Bottom