Leo majira ya saa sita usiku kumetokea chatu mkubwa hapa udom social science
je ni sahihuhi kwa watu kwenda kujazana na kumchezea badala ya kumuua?
Je kunamadhara gani kwa watu kumchezea chatu aliye hai?
Je wako sahihi
JAMANI HEBU 2ACHE Ufinyu WA FIKRA Debora na teresia ni Makada wazuri Wa CCM
TATIZO MNAKUWA DRIVEN NA UDINI NA MNAROPOKA MAMBO BILA KUFIKIRIA HEBU TOA USHAHIDI KUWA ABUU ANA UHUSIANO NA ROSTAM AZIZ? Kama unao hebu wathibitishie wananchi.
hivi nyie mna takwimu au mnaongea hivi Wakristo...
Hii Dhambi mliyoifanya itawatafuna mmoja mmoja huyo Debora tangu lini ana uwezo wa kuongoza? Ni mawili ataongozewa chuo Na Boyfriend wake au ataongozewa chuo na Kanisa pia choo mlichoingia ni cha watoto Kwani DEBORA Na Teresia wote ni Makada wa CCM
HEBU ACHENI USENGE NYIE NA hivi Hamjui kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.