Mimi kufukuzana na upepo hilo kwangu halipo,au kubeba mavyuma mazito pasipokujua tajiri yangu ni nani atakaenilipa hilo nalo halipo..
Hakuna mazoezi ya raha kama kuogolea...nimejiunga membership ktk shule moja,(International school)..
Kila ifikapo 11 jion naenda kufanya mazoezi huku nikiangalia...
Leo mwezi wa pili sasa tangia nimejiunga na Fiber wireless Internet..
Nazidi kujilaumu nlikuwa wapi siku zote hizi,nikifkiria jinsi nlivokuwa nikilambwa Mb zangu na voda pamoja na tigo kwa siku wananitafuna hadi elf6..
Kwasasa natumia elf70 tu kwa mwezi lkn tunainjoy familia nzima kwa kupata...
Eti mafuta tulioyanunua july yapo njiani yataanza kutumika September [emoji1]
Ukisikia manyumbu ndio hawa.
Unaongelea September wakati leo hii bei ya lita moja ya mafuta ya taa ni 3750...
Sintosahau nimeenda dar,hio nyumba niliofkia kuna binti yao,alitokea kunipenda saana.
Siku moja akanambia leo uje chumbani kwangu,nikamwitikia tu,kisha nikampotezea,
Mtoto alinimaind saana siku ya pili yake,ikapita kama siku 3 akanambia leo usiache kuja chumbani kwangu,nikambia poa
Siku hio...
Mimi nimeweza kuacha kila kitu,lkn Nyeto bana imeshindikana kuacha,yaani nisipo gonga dem wiki moja tu,lazma nicheze na Vaseline[emoji1321]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wewe ndio uliye olewa au umeoa,!!!
Dume zima unakaa ukweni miska mitano sasa,bila hata aibu unasema eti mshahara wa mke wangu ndio unanisaidia,,,,Nyambaafff
Sio bure wewe lazma utakuwa mwanaume wa Dar[emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wanazidi tu kumzushia marehwmu Iddi Amini...hilo jamaa lilikua straight saana na alikua mtu mwenye imani saana..lkn ukiona wayu wanavyo mchafua unaeza kusema Amini alikuwa ni mtu mnyama saana.
Hata vita vya kagera wanajeshi wetu walipigwa saana hadi kuchkua uamuzi wa kulipua daraja la mto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.