jaman huyu ni mtu mmoja hawezi kutuumiza vichwa,huku T.bara namfananisha na lusinde tu...hanaga points za kushawishi umma,huo ndo uwezo wake wa kufikiri katika kuleta maendeleo hapa tanzania
Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 23,ninampenz wangu ambaye tumeishi naye karibia miaka miwili kwa sasa,tunaishhi vizuri sana pia huwa mara nyingi tunafanya mapenzi vizuri na tunaridhishiana lakini siku hizi nahisi nina tatizo kwa sababu kila nikikutana naye huwa na ejaculate mapema sana...
Mimi ninampenz wangu ambaye tumeishi naye karibia miaka miwili kwa sasa,tunaishhi vizuri sana pia huwa mara nyingi tunafanya mapenzi vizuri na tunaridhishiana lakini siku hizi nahisi nina tatizo kwa sababu kila nikikutana naye huwa na ejaculate mapema sana kabla ya kumridhisha,mwanzoni sikuwa...
Mimi ni MTANZANIA niliyefanikiwa kujiunga na chuo kikuu cha dodoma (udom) mwaka juzi kwa bahati nzuri nimefanikiwa kupata mkopo 100% ni kweli fedha imeongezeka lakini haitakuwa vizuri mimi niongezewe na wengine wakose kabisa haikuwa dhamira yetu.Sisi ndiyo tumesababisha wadogo zetu wa mwaka wa...
kweli DUNIANI hakuna haki ndugu zangu"viongozi wetu ni kati ya makundi ya kwanza kwenda motoni,i swear my MAPIPO;tunanyanyaswa sana,wengine wanasimamishwa masomo eti kisa kudahi haki zetu"naomba vijana tuamke sasa'
"haiwezekani wanafunzi 10 kukuzwa bila sababu yoyote"wametumia uchache wetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.