Is 'Havard' a new university somewhere in the western countries?? Au imeanzishwa huku kwetu Africa? Kama anaejua anijuze tafadhali, nimepata hamu ya kurudi masomoni ghafla!
Kalamu & zitto junior,
Kwa heshima zote, maana mvutano wenu imejaa mantiki na uwezo wa mdahalo upande zote mbili Kwa nyakati tofauti tofauti.
Lakini mnatuchosha!
Cool down (hata kama usoni mna tabasamu)
Hii dhahabu haiwezi thibitishwa imetoroshwa Tanzania ikiwa dhahabu ghafi. Period!
Kwa...
Wazawa waache kuajiri wazawa kusaidia kazi za nyumbani kuanzia leo... haipendezi... tuwalete hao wasaidizi kutoka India, Uarabuni na Ulaya jamani.. ndio itapendeza !
Mungu ni mwenye kurehumu sana... kila anayeteseka kifedha kwa mfano, Mungu ana sababu zake kukubali apitie magumu hayo... kwani ni kuamua tu na inakuwa kwa muumba wetu... kuna matendo yetu (sio lazima madhambi), kuna mazingira, kuna binadamu mwingine ana sababisha (mmoja kwa mmoja au la), n.k...
Ukishaona mtu anawatukana wengine huko akiwepo mwenyewe pia, ujue kashachoka maisha...tuongelee point mmoja tu ili isiwe ndefu...kama hizo stress zinatokana na mambo za kiuchumi, ujue ni mtu hana akili kubwa sana lakini anadhani vinginevyo.. AU, ana akili sana na bahati (fursa) pia anazo lakini...
Wewe unalipa kodi kikamilifu? Tuache uwongo, ni kama tunataka kusema kwamba wahindi wote kwa ujumla wao wangelipa kodi kikamilifu, ndio serikali ingejitosheleza..
Tusisahau kwamba wahindi hawafanyi kazi kwenye idara yoyote ile za serikali, labda mmoja mmoja tu.. 1 in like 10,000 maybe (something...
Kuwa na vidole nyingi (ku type mitandaoni) au tuseme ulimi (hata kama ni mmoja tu) siyo hoja pia, watu wanaangalia akili iliyotumika kusema chochote anachotaka kusema bin-Adam (au binadamu ukipenda)...
Mleta mada nilikusihi kwamba unaumwa akili... lakini nataka niseme kwamba sikumaanisha nikuudhi... nilitaka niku engage ili tujadili zaidi kwa nini nimesema hivyo... hata hivyo, kuambiwa unaumwa akili sio tusi...Nimesha futa hiyo post yangu na utanisamehe hata kama hatujuani kwani kama ulisikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.