Ndugu wana JF wote nashukuru kwa ushauri wenu kwani nimeweza kupata wadau ambao wamenipa mbinu nyingi za kuweza kutatua tatizo langu ama kweli Jf ni kioo cha jamii. Mwenyezi MUNGU awabariki wote.
na mimi najua kama hiki ni chombo cha kuelimisha ndo maana na mimi nikakimbilia hapa. Naomba nikuhakikishie mi ninachokieleza ni cha ukweli na kama unabisha please nakuomba unikaribishe kwako ili nije nikuhakikishie hiki ninachokieleza ndani ya Jf. Wala mi co mhuni kama unavo dai mi nikimpata...
kuhusu wale wanaotaka kunijua kwa undani zaidi: mi ni kijana mtanashati wala mi co mchafu kama baadhi ya wadau wanavyodai, kuhusu saizi ya Jogoo langu likiwa limesimama linakaribia kufikia nchi 11 yani kwa ujumla ni kero tupu kwani siwezi kuvaa chupi ndani navaa pensi na suruali na hiyo pens...
Nilidhani ni mimi tu kumbe tuko wengi!!! Mi na2mia cm ya mkononi mara nyingi nikiwa off unakuta niko bz sana na cm mpaka nahisi nataka kupofuka macho. Kuhusu gharama huwa c2mii gharama kubwa. Mi na2mia mtandao wa voda huwa nanunua kifurushi cha 50mb@Tsh 2,000 ambayo ina2mika@ muda wa cku 30.
Habari zenu, kabla ya yote napenda kuwapongeza wana JF wote kwa mchango wenu ambao mmekuwa mnaotoa kupitia humu JF.
Mimi tatizo langu kubwa linalonisumbua kifupi tu mi nikijana mwenye umri wa miaka 25 (sijaowa) tatizo langu jogoo langu nikubwa mno kiasi kwamba mpaka imekuwa kero yani mpaka...
Mawazo yako nayaunga mkono@100% hivi una miaka mingapi ya kuzaliwa? Tunahitaji Wa2 wenye mawazo kama ya kwako mnafaa kuwa viongozi we2 nakushauri ugombea uongozi wowote kama U/kiti wa mtaa, udiwani, ubunge n.k Kweli kabisa naamini ukipewa nafasi unaweza kuikomboa hii nchi ye2. Big up sana.
Mara nyingi nimezoea kuona/kusikia kila kunapotokea fujo lazima utasikia kumetokea mauaji ya RAIA yanayosababishwa na jeshi letu la polisi, na hakuna hatua yoyote inayochukuliwa zaidi tu ya serikali kutoa kifuta machozi kwa wafiwa. Kwa bahati nzuri humu JF tunao wasomi wanaojua sheria vizuri...
Haaaa! Ubarikiwe sana kwa somo la leo. Kuanzia sasa kwa kufuata mtiririko huu nina uhakika ntampata mke mwema. Asante sana MUNGU akubariki wewe pamoja na familia yako yote. Ameeeeeee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.