Mmmh we ni mvumilivu miezi 5, unakula tu hujui hata sufuria wala chungu kilichopika!!, mi kwani naweza sasa lazima nione aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh uongo huu ni wa hali ya juu na sio wa kitaifa lkn mkuu kuanzia awamu ya kwanza hadi hii ya tano bado upo serikalini si ndo mabashite nyie mbaobana nafasi za watu wenye sifa, hahahaaa mtazamo tu....
Mfano kama hicho cha bima ya afya makosa yanafanyika na waandishi au waandaaji wa vitambulisho hivyo nakumbuka hata changu kina particulars ambazo sizo kabisa tar na mwezi ni sahihi lkn mwaka na majina walikosea spelling nyingi labda hivyo vingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.