NA WAANDISHI WETU - GAZETI LA UHURU
KATIBU Mkuu wa CCM, Wilson Mukama, amemponda Dk. Wilbroad Slaa na kusema ni mwanasiasa anayejifunza(Kwahiyo unataka kumfunza siyo?). Amemfananisha Dk. Slaa ambaye ni Katibu Mkuu wa CHADEMA na mtu anayebadilisha dini na kujifanya mjuaji kuliko aliowakuta...
Hapo umenena. Mbona Executive Director wangu analipwa sh 10,500,000/= kwa mwezi licha ya kwamba kazi yako haina contribution kubwa kwa taifa. Je naye tumwite ni fisadi?
Mbona Nape hasemi yeye anapokea shilingi ngapi kwa kazi ya propaganda? Huyu dogo Sijui kama anajua kwamba anajimaliza...
Kwa taarifa za kiitelijinsia nilizonazo, budget ya CCM kwa uchaguzi wa 2010 ilikuwa:-
Helcopter 3@ tsh 2,0000,000,000/- = 6,000,000,000/=
Kusomba wahudhuriaji 5,000,000 @ 5,000/- =25,000,000,000/=
First Lady ndege na msafara = 4,000,000,000/=...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.