We ndugu, imesemwa wazi kwamba, kama ingekuwa ya mangi mtaani isingekuwa na taabu hii wanaopata wazazi, -----huyu anatumia mwanvuli wa dini kuanzia jina (Martin Luther School) na Pia kujenga Kanisa refu na kuweka msalaba Mrefu kuliko structure yeyote pale na kupaka rangi ya kuonekana, na pia...
Kinachonifanya niandike kwa uchungu ni shule hii kutumia mwavuli wa dini, mmiliki akitutangazia yeye AMEOKOKA huku matendo yake mimi na wazazi wengine wa hapa Dar na wa Dodoma nilikokuwa naishi, wengi tunaumia na tunaona tunaibiwa live. Dr Ngalichako nakuaminia najua utachukua hatua.
Ingekuwa...
Ama unazo za kuchota au umefanikiwa kumpeleka shule ambayo ni fair au we mmiliki ama hauko informed.
kuna shule zinazotoza kupitiliza. jna nimetolea mfano wa shule moja kuwa
Soksi za shule zinauzwa mtaani 1500, wanataka LAZIMA ununue shuleni kwa 5,000
Tracsuit inauzwa mtaani 18,000...
Katika Kero niliyonayo ni hili la michango tena ya kulazimishwa na wamiliki wa shule
Nikawa na Mtoto shule moja ya msingi iliyopo Dodoma, Kero kubwa zaidi na kinachonikwza ni shule hiyo kutumia mgogongo wa Dini, jina la shule na Kujenga kanisa kubwa mkoa mzima na kuweka msalaba mwekundu mrefu...
Magufuli
Mwigulu
Kairuki
Lukuvi (Ardhi tu)
Makonda
Mkuu wa wilaya likuwa Iramba siku hizi Lindi
Prof Muhongo
Rehema Nchimbi
Dau ila tatizo ni asilimia zaidi 80 na hivyo kumfanya awe amepatia kwa chini ya 20% tu
Msechu ila tatizo ni kibiashara zaidi na sio huduma ya kiserikali, nyumba za morocco...
Kumbe sasa Ukawa walishinda sehemu ya mikoa hiyo 4 na sema na huo wa dar inakuwa 5, ok chukua na Pemba. Kumbuka nayo ni sehemu tu, ni baadhi tu ya majimbo! je mikoa mingine yoote hiyo kura zilienda wapi?
Halafu Lowasa Ameibiwa Kura!!!
Kwa sana Ukawa heri wangenyamaza tu ili wajitafakari! mitaji ya kisiasa yote inazibwa na inaenda kuzibwa!
Hivi ubungo stand, mia mbili zetu za kulazimishwa hata kama unatoka na bag kubwa na ticket umesahau ndani ya bus, zinatusaidia kweli?
Nimewahi kumuona Emmanuel Tv amekaa kama waumini wengine. kuhusu kumtabiria sijawahi kuona, na ninahisi watu baada ya kumuona wakaja na maneno yao ya kutengeneza story. TB namuamini kama nitapewa hiyo video nitathubutu kuanza kujifikiria.
ila kwangu mie kwa sasa, nimechoka na CCM ila siweze...
Siamini na haileti sense. Tofauti ya Magufuli na Amina ni kubwa mno mno, kama Amina ndiye aliyeshinda then wangechakachua na margin ingekuwa ndogo ili hata wajumbe wasitilie shaka, sasa kura around 1,500,000 kwa 280 haileti maana kwamba wa 280 ndiye aliyeshinda! ingekuwa ndivyo ningetegemea...
So so wel said. sina shida na Jaji na Mungu ambariki sana kwa wema wake. Tatizo ni kwamba aina ya watendaji wetu na watanzania kwa ujumla tunahitaji Dictator, Edo anaonekana anakubalika sio kwa vile msafi bali kwa sababu ya udictator wake, ila sasa wanaomzunguka mi kwake nilishajitoa nakuomba na...
JK Alichelewa sana kumpa wizara huyu ndugu Lukuvi, Uzuri wa huyu bana anaji interact na watu wa aina yote, anayapata mengi ya mtaani na kuyafanyia kazi, Mama Yule alikuwa nchomile, alikuwa hata hawasikilizi wataalamu wake.
Migogoro mingi anaifanyia kazi na wafanyakazi nao wamepata mori
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.