Search results

  1. Leonard Robert

    Malawi yadai kuishtaki Tanzania kwenye Umoja wa Afrika(AU)

    Foreign Affairs and International Cooperation minister Francis Katsaira said Tanzania has released a new Lake Malawi map which shows the east African country has taken a chunk of Lake Malawi, which is potentially rich in oil and gas.. “We have already reported them to the African Union and very...
  2. Leonard Robert

    Do you remember your first post?

    Tujikumbuse post zetu za kwanza kabisa kwenye mtandao huu pendwa je ni kipindi kile JF bado inaitwa jamboforum au ni hii ya sasa. binafsi uzi wangu wa kwanza niliupeleka jukwaa la MMU kuomba ushuri kwenye masuala mazima ya mapenzi.. nawakumbuka watu walionipa tabu sana nijamaa mmoja waccm...
  3. Leonard Robert

    Moaning

    what are your opinions jamani.. when your partner moans and talks dirty?.. funguka some of your experiences.. huyu bibie totally got turned on when I would moan LOL I think it is one of the sexiest parts of..., hearing your partner moan and enjoy herself. personaly I dont like the...
  4. Leonard Robert

    Hamis Kigwangalla: Nashauri Rais asisaini muswada

    "Ningekuwa mshauri wa Raisi Jakaya Kikwete kuhusu muswada wa sheria ya mabadiliko ya katiba,ningemshauri asisaini sheria hiyo iliyopitishwa na Bunge mwezi uliopita" "ushauri wangu unazingatia lengo moja kubwa:kutengeneza muafaka wa kitaifa, na kwa maana hiyo makundi yote ndani na nje ya Bunge...
  5. Leonard Robert

    A Quote Thread....

    "why do we kill people who are killing people to show that killing is wrong?" -Holly near "Never let your schooling interfere with your education" - Mark Twain "To attain knowledge, add things everyday.To attain wisdom,remove things everyday" -Lao Tzu
  6. Leonard Robert

    LADY JAYDEE karibu CHADEMA!

    Nimekuwa nafatilia kwa umakini mpambano unaoendelea kati ya Ruge na Jide, nimegundua Jide ni mpambanaji kama alivyo mh. Sugu, kwani Ruge wengi wanamuogopa ila Jide kausema ukweli ambao wengi wamehindwa. sasa nakushauri ujiunge na Makamanda wa kweli wApigania haki bila kuchoka.. fanya haraka...
  7. Leonard Robert

    Radio Imaani yaishambulia tena JamiiForums, wadai Idd Amin alikuwa 'Mtu makini'...

    Kipindi kinaendelea sasa hivi, Wameongea mengi sana, mzungumzaji mkuu amesema JF ni mali ya chama flani na imejaa upotoshaji kuhusu dini ya kiislamu, imejaa matusi yanayomtukana Rais wetu tena matusi ya nguoni. Kwakweli wmeongea mengi sana, pia wanalalamika watoto wa kiislamu kuminywa toka...
  8. Leonard Robert

    Ubaguzi wa kidini unaoendelea nchini chanzo hiki hapa

    Kwa muda mlefu sasa tumekua tukisikia na kujionea vitendo vya kibuguzi nchini. Nchii kila kona kuna cd za matusi,vipeperushi,magazeti n.k hasa mashambulizi hayo yanaelekea kwa wakristo(kwa jinsi nionavyo mimi) ukiwa umejifungia nyumbani kwako unaweza usijue hali ilivyo mbaya sana,lakini...
  9. Leonard Robert

    Kama wewe ni binadamu nakubatiza kwa jina la baba la mwana na la roho mtakatifu

    wadau, Kuna story niliambiwa ningependa kuifahamu vizuri Nasikia kwamba huko Mara alikuwepo padri mmoja mzungu mbaguzi sana miaka ya 1950s inasemekana mzungu huyo alikua na mashaka kama kweli waafrika nao ni wanadamu kama walivyo wao wazungu. Inasemekana ikafikia kipindi akawa anawabatiza...
  10. Leonard Robert

    may be we do need kings

    may be it is our nature to have these super-rich, super-powerful people in our society...they are no ''real'' kings anymore but there are people making more or less officially the same calls that kings used to make(think of king mswati) hiko wazi tunitaji stonger leaders than we think we do...
  11. Leonard Robert

    Did you know?

    Biggest wars ''I do not know what the third world war will be fought whith,but fourth world war will be fought with sticks and stones'' said Albert Einstein.war is not heatthy for children and other human beings. THE BIGGEST CONFLICTS OF THE 20th CENTURY.. 1.second world war(1935-45) 20 million...
  12. Leonard Robert

    what's the most important thing in the world?

    title says it all.fungukeni kitu muhimu kwenye dunia hii kwamba bila hicho kitu shida ingekuwepo.. I want to see what every one says to this off the top of their heads.. Karibu
  13. Leonard Robert

    Ya Vitambulisho vya Taifa kama chanjo ya mbwa

    Vitambulisho vya Taifa vinanikumbusha uchaguzi mkuu wa 2010.. Kipindi hicho mgombea wa uraisi kupitia ccm alitawanya mabango yake nchi nzima hata kule kusiko fikika kwa urahisi {vijijini ndani} nakumbuka Nyamagana ilienea mabango ya chagua Masha kwa maendeleo,kona hadi kona kuanzia buhongwa...
  14. Leonard Robert

    kwanini mikutano maalumu au ya-kiserikali utumia maji badala ya soda au juisi??

    kwa hali ya kawaida soda na juisi ni vinywaji vinavyotumika kwenye sherehe mbalimbali, pia vinywaji hivi utumiwa na wengi kuwapa wageni sasa nashindwa kuelewa kwanini mikutano au warsha za kisiasa zinaweka maji mezani badala ya soda au juisi. au ni ule uvumi kwamba soda zina madhara ila sisi...
  15. Leonard Robert

    Do you believe natural TALENT exist?

    is there such a thing as natural talent? Au juhudi za watu tu zinawafanya waonekane wanavipaji.. Eti shule za vipaji maalumu, ni kweli hawa wana vipaji ambavyo ni maalumu au wametia bidii kwenye masomo kuliko wengine? Wakuu heshima kwenu dou you believe natural talent exist or do people...
  16. Leonard Robert

    What are your favorite philosophical and political Quotes?

    Kwangu mimi, hizi hapa: 'Those who receive privelege have the duty to repay the sucrifice which others have made, they are like the man who has been given all the food available in a starving village in order that he might have strength to bring supplies from a distant place.If he takes this...
  17. Leonard Robert

    penzi la mfumuko wa bei

    hii imenishangaza sana mdada mmoja kwenye kipindi cha wanawake live amesema eti wadada wengi siku hizi wanajiingiza kwenye mapenzi sio kwa sababu wanawapenda sana wanaume bali ni kutokana na mfumuko wa bei unaondelea hapa nchini eti wanawake wako tiyari kuishi na mwanaume asiyempenda ilimradi...
  18. Leonard Robert

    Nini kilitokea na nani alizima vita isitokee kati ya TANZANIA na KENYA?

    kwanza heshima kwenu wakubwa na vijana wenzangu, kuna habari za kihistoria niwewahi kuzisikia lakini sikupata historia hiyo kwa kina na nimeona hapa kuna wenye uelewa mpana wa mambo yetu ya kihistoria hivyo basi nitapata majibu. Kutokana na vita baridi iliyoanza baada ya vita kuu ya dunia na...
  19. Leonard Robert

    What do you think the world will be like in 100 years?

    I think, the average life expectancy will be over 100 in Europe but below 40 in Africa asia and America nudity and sex will be common place on TV(both local and international Tv stations) everything will probably be purchased on credit cards free internet worldwide am not sure if we'll be...
  20. Leonard Robert

    Wakenya walitupora lugha yetu kwenye mtandao..!

    Yamesemwa ndani ya kongamano linalofanyika chuo kikuu cha Dar es salaam.. Mtoa mada mzee abdulatiful abdala kutoka kenya..alisema eti Kenya sasa imefika mbali kuliko Tanzania katika nyanja za lugha ya kiswahili.. Akikanusha hoja hiyo kutoka meza kuu,alisema eti kenya bado hawajatufikia katika...
Back
Top Bottom