hayo ni mafunzo ya awali jeshini so kila mwanajeshi anapitia. nakumbuka nilipokuwa nafika siku ya kwanza nilitamani sana kuwa comandoo ila baada ya kuhitimu na kuanza mafunzo nilifeli mwezi wa pili wa mafunzo na kupata hitirafu kwny mguu wa kushoto. hakuna komandoo wa kike(taarifa toka vyuo vya...
hayo ni mafunzo ya awali jeshini so kila mwanajeshi anapitia. nakumbuka nilipokuwa nafika siku ya kwanza nilitamani sana kuwa comandoo ila baada ya kuhitimu na kuanza mafunzo nilifeli mwezi wa pili wa mafunzo na kupata hitirafu kwny mguu wa kushoto. hakuna komandoo wa kike(taarifa toka vyuo vya...
Mimi niliwai kwenda IFM mwaka 2009 wakati nataka nisome IT na wakati huo nilkuwa tayar nimechukua form UDSM na niliambiwa unatakiwa uwe umesoma sayansi "O" au "A" Level. na pia kinaenda TCU kwa uchunguzi zaidi ndo nikapewa full details. QM uwezi fananisha na Mathematics za mlimani za watu wa...
Mimi na muhitimu wa Shahada ya kwanza katika sayansi ya kompyupa. Mimi ninachofahamu ni kwamba
Bsc in Computer Sc, Bsc in IT.
Mfano:
University of Dar es Salaam
Bsc in Cmptr sc ni lazima awe amesoma Physics na Math (PCM, PGM) na darasa wanafunzi hufunzwa Mathematics pia mwaka wa kwanza mpaka...
Chuo kikuu cha Dar es Salaam kimewatunuki shahada wanafunzi wasio na sifa katika mahafali ya arobaini na mbili Kwa minajili ya kutunikisha Digrii za awali, Stashahada na vyeti kikundi cha pili saa saba na nusu Mchana Jumamosi ya tarehe 3 November,2012.
Bahadhi ni hawa:
1.Jongo Nasra (shule ya...
Jamani ni chuo kikuu cha Dar es Salaam Mahafali ya arobaini na mbili kikundi cha pili saa saba na nusu mchana jumamosi, Tarehe 3 November 2012.
Na kama unataka kuhakikisha hili omba kitabu cha wahitimu kikundi cha pili mahafali ya arobaini na mbili.
Nimesikitishwa sana na kuona wahitimu wasio na sifa kutunukiwa shahada zao bila kufanya mitiani yao ya mwaka wa tatu hata mmoja. ...................hii ni usibitisho tosha ma Profesa wetu kwa kweli waliopo kipind hk wanatia shaka sana katika elimu ya kizazi kijacho
Jaman bidhaa za sasatel nyingi zinaonekana ni feki . Mimi ni miongoni mwa wateja wa sasatel niliye uziwa mordem na min-laptop bomu .plz naomba ushauli wenu nifanyaje?
Moja
Sasatel wanatumia CDMA (Carrier detection media access) ambayo inakuibia muda bila ww kujua coz ukitumia Tsh 500 masaa 24 bila kudownload sasa utakua unafanya nini.
Pili
Bidhaa za Sasatel i mn hardware zao si za kuaminika
Tatu
Hawako tayari kumsaidia mteja anapopata tatizo
Sasatel na Simply Computers nawapa siku 60 na ndani ya siku hizo muwe mmenilipa pesa zangu na kuniomba radhi,kunilipa pesa zangu na kunipa fidia kwa kunipotezea muda na nishati yangu niliyopewa na Mungu,Kutoa fidia kwa watu wote mlio wasababishia matatizo kama yangu na kama haya au kati ya haya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.