Search results

  1. J

    Tufanye kazi

    Matukio yanayotokea sasa katika nchi yetu ni mchanganyiko wa mambo mengi na la msingi zaidi nionalo kwetu sisis watanzania kulalamika kwamba hali ngumu na viongozi hawawajibiki. Ok yawezekana kweli hawawajibiki wanakula rushwa au wanajali maslahi yao kuliko ya nchi yao na wananchi wao. Sasa...
  2. J

    Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

    This man will live forever in the hearts of many people because he gave himself to his country and people the thing that you cant see today in modern leaders
  3. J

    Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

    Alipowaponda baadhi ya watu kugombea uongozi wa taifa watu wengi walimwona kama mzee aliyepitwa na wakati ambaye alikuwa anajaribu kutumia umaaruffu wake kuweka mtu ambaye watu waliona kama ni kuwachagulia kiongozi. Aliweza kufanikiwa kupendekeza mtu ambaye hatimaye alikuja kuwa kiongozi wa...
  4. J

    Posho na Mishahara ya wabunge...

    Imekuwa ni porojo tu ndani ya bunge juu ya posho za wabunge na viongozi wa serikali na idara zake. Nauliza swali moja : hawa wabunge wanapoomba kura za watu wanakuwa wamelenga kuwatumikia au wapo kwa ajili ya masilahi yao? Kama kweli wanawatumikia wananchi basi wakubali kutolipwa posho ili...
  5. J

    Ni Zanzibar ipi wanaitaka?

    Wanaitaka zanzibar ambayo itakuwa na mvua inyeshayo pesa na ambayo watu watakula bila jasho
  6. J

    Ipe neno hii picha, anawaza nini?

    Anawaza kama atamaliza kipindi chake bila kuwa impeached kwa kushindwa kuwa neutral bungeni
  7. J

    Wanasiasa wanamwogopa mungu kweli?

    Jamani nisaidieni kujua. Hawa wanasiasa wetu mara nyingi wanahubiri wasiyoyaamini wenyewe na hawajali wanaowarepresent. Hivi kweli hawa watu wana dini na wanamwogo mungu?pa
Back
Top Bottom